GAS STATE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,770
- 952
wewe unamsukumo wa kidini badala ya siasa, shame to youvilevile, kuwa na ubalozo na marekani ni kubariki ushoga, na yale yanayofanywa na marekani kusapoti vita vya syria?iraq? afghanistan?....yale yaliyofanywa na kagame, yanayofanywa na kabila etc kuwa nao ubalozi ni kuyasapoti? hivi kwa akili yenu mnafikiri watu wote tunaichukia israel?