Zitto Kabwe kumponza Dr Kitila Mkumbo?

SON OF DAVID

Member
Apr 1, 2011
42
3
Zitto Kabwe na Dr Kitila Mkumbo ni marafiki wa muda mrefu. Urafiki huo ulianza Chuo kikuu cha Dsm pale ambapo Dr Kitila alimbeba Zitto hadi akafanikiwa kuwa Katibu DARUSO.

Baadaye Zitto akaukwaa ubunge. Makada wa CCM wakatofautiana kuhusu mkataba wa Buzwagi. Wakampa Zitto deal la kulipua akapata umaarufu. Uchaguzi wa Chadema 2009 akambeba Dr Kitila kuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia umaarufu wake. Dr Kitila na Zitto ni wajumbe wa kamati hadi sasa.

Chanzo cha kuponzana;

1) Mwaka 2009 Zitto akataka kumvaa Mbowe kabla wazee hawajamshauri atoe kwa (HIARI?) Katika mchakato huo Dr Kitila alimuunga mkono Zitto waziwazi dhidi ya Mbowe. Dr Kitila akasema yeye ni mshauri wa kisiasa wa Zitto. Wote wakakwama.

2) Mapema mwaka huu baada ya Shelembi kufa. Zitto alishirikiana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Shinyanga kumteua Shibuda chap chap ndani ya wiki kurithi nafasi ya marehemu (uenyekiti wa Chadema mkoa wa Shinyanga) Hoja ikapelekwa kamati kuu. Zitto, Mama Zitto, Dr kitila na Shilungushela wa shinyanga wakawa ndo watu pekee waliomtetea Shibuda abaki ktk nafasi hiyo. Wajumbe wengi wote wa kamati kuu walimpinga Shibuda. Mapacha hawa nao wakakwama tena. Shibuda akatimuliwa ktk nafasi hiyo.

3) Hivi sasa kuna fununu kuwa mshauri huyo wa Zitto wanatafakari nafasi ya kumpa ikiwemo ukatibu mkuu wa Chama (Nafasi ya Slaa). Je, watafanikiwa? Harakati hizi zinaendelea wakati ambao Dr Kitila anajua uswahiba kati ya Zitto na Jack Zoka (Mkurugenzi mkuu msaidizi wa usalama wa Taifa) na Rostam Aziz zilizowekwa hadharani na gazeti la MwanaHalisi.

Sijapata msimamo wa Zitto na Kitila ktk suala la kutimua madiwani wa Arusha.
 
Huu ni uongo, Dr. Kitila hakuwa chuoni pamoja na Zitto, na Zitto hakuwa kiongozi kwenye serikali ya Kitila kwa hiyo tuliosoma hesabu za kukokotoa hii habari inakuwa ni ya kutunga. Halafu Dr. Kitila ni mtu mwenye msimamo na huwa hachukuwi misimamo ya watu. Namjua na sidhani kama ni mshauri wa kisiasa wa Zitto zaidi ya wote kuwa CDM na viongozi.

Dr. Kitila anaheshimu sana kazi alizofanya Mbowe na Dr. Slaa CDM, hana uchu wa madaraka. Na wakati ukifika anaweza kuwa kiongozi sio ubaya.
 
Kuna kaukweli ila kaweke sawa,kuna vitu hujui na mii siwezi sema maana sio mahali pake
 
  • Thanks
Reactions: FJM
sijaona hoja hapo,kamponza vipi sasa au ulitaka na wewe uonekane kuwa unawafaham uswahiba kati dakt mkumbo na zt
 
Kuna maswali mengi sana juu ya 'peace' ndani ya CHADEMA wakati/baada ya kinyang'anyiro cha urais 2015. Nadhani ingekuwa vizuri CHADEMA waanze kuwekeza kwenye safu ya kusimamia maamuzi magumu na kutatua/kudhibiti potential cracks.

CCM wameshaonesha madhara ya kushindwa kuhimili migongano na kudhibiti mitandao ndani ya chama, hivyo CHADEMA wachukue somo na kujiweka sawa.
 
Mjomba Umekurupuka. Burning issue iliyopo ni Mafuta kwa sasa usitake kuipotezea. Na nyingine ndogo ni Je Mh. Mtemvu na Zungu wanafikiri kwa kutumia Makalio?!
 
Zitto Kabwe na Dr Kitila Mkumbo ni marafiki wa muda mrefu. Urafiki huo ulianza Chuo kikuu cha Dsm pale ambapo Dr Kitila alimbeba Zitto hadi akafanikiwa kuwa Katibu DARUSO.

Baadaye Zitto akaukwaa ubunge. Makada wa CCM wakatofautiana kuhusu mkataba wa Buzwagi. Wakampa Zitto deal la kulipua akapata umaarufu. Uchaguzi wa Chadema 2009 akambeba Dr Kitila kuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia umaarufu wake. Dr Kitila na Zitto ni wajumbe wa kamati hadi sasa.

Chanzo cha kuponzana;

1) Mwaka 2009 Zitto akataka kumvaa Mbowe kabla wazee hawajamshauri atoe kwa (HIARI?) Katika mchakato huo Dr Kitila alimuunga mkono Zitto waziwazi dhidi ya Mbowe. Dr Kitila akasema yeye ni mshauri wa kisiasa wa Zitto. Wote wakakwama.

2) Mapema mwaka huu baada ya Shelembi kufa. Zitto alishirikiana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Shinyanga kumteua Shibuda chap chap ndani ya wiki kurithi nafasi ya marehemu (uenyekiti wa Chadema mkoa wa Shinyanga) Hoja ikapelekwa kamati kuu. Zitto, Mama Zitto, Dr kitila na Shilungushela wa shinyanga wakawa ndo watu pekee waliomtetea Shibuda abaki ktk nafasi hiyo. Wajumbe wengi wote wa kamati kuu walimpinga Shibuda. Mapacha hawa nao wakakwama tena. Shibuda akatimuliwa ktk nafasi hiyo.

3) Hivi sasa kuna fununu kuwa mshauri huyo wa Zitto wanatafakari nafasi ya kumpa ikiwemo ukatibu mkuu wa Chama (Nafasi ya Slaa). Je, watafanikiwa? Harakati hizi zinaendelea wakati ambao Dr Kitila anajua uswahiba kati ya Zitto na Jack Zoka (Mkurugenzi mkuu msaidizi wa usalama wa Taifa) na Rostam Aziz zilizowekwa hadharani na gazeti la MwanaHalisi.

Sijapata msimamo wa Zitto na Kitila ktk suala la kutimua madiwani wa Arusha.

Kwani Zitto kasoma lini UDSM na Dokta Kitila lini?? Au unataka kusema alimbeba wakati yeye akiwa mtumishi wa chuo na Zito mwanafunzi?? Kama ndivyo, unatuambia DARUSO si taasisi huru kama wengine tunavyodhani?? Acha pumba wewe, umechelewa!!!
 
Zitto Kabwe na Dr Kitila Mkumbo ni marafiki wa muda mrefu. Urafiki huo ulianza Chuo kikuu cha Dsm pale ambapo Dr Kitila alimbeba Zitto hadi akafanikiwa kuwa Katibu DARUSO.

Baadaye Zitto akaukwaa ubunge. Makada wa CCM wakatofautiana kuhusu mkataba wa Buzwagi. Wakampa Zitto deal la kulipua akapata umaarufu. Uchaguzi wa Chadema 2009 akambeba Dr Kitila kuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia umaarufu wake. Dr Kitila na Zitto ni wajumbe wa kamati hadi sasa.

Chanzo cha kuponzana;

1) Mwaka 2009 Zitto akataka kumvaa Mbowe kabla wazee hawajamshauri atoe kwa (HIARI?) Katika mchakato huo Dr Kitila alimuunga mkono Zitto waziwazi dhidi ya Mbowe. Dr Kitila akasema yeye ni mshauri wa kisiasa wa Zitto. Wote wakakwama.

2) Mapema mwaka huu baada ya Shelembi kufa. Zitto alishirikiana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Shinyanga kumteua Shibuda chap chap ndani ya wiki kurithi nafasi ya marehemu (uenyekiti wa Chadema mkoa wa Shinyanga) Hoja ikapelekwa kamati kuu. Zitto, Mama Zitto, Dr kitila na Shilungushela wa shinyanga wakawa ndo watu pekee waliomtetea Shibuda abaki ktk nafasi hiyo. Wajumbe wengi wote wa kamati kuu walimpinga Shibuda. Mapacha hawa nao wakakwama tena. Shibuda akatimuliwa ktk nafasi hiyo.

3) Hivi sasa kuna fununu kuwa mshauri huyo wa Zitto wanatafakari nafasi ya kumpa ikiwemo ukatibu mkuu wa Chama (Nafasi ya Slaa). Je, watafanikiwa? Harakati hizi zinaendelea wakati ambao Dr Kitila anajua uswahiba kati ya Zitto na Jack Zoka (Mkurugenzi mkuu msaidizi wa usalama wa Taifa) na Rostam Aziz zilizowekwa hadharani na gazeti la MwanaHalisi.

Sijapata msimamo wa Zitto na Kitila ktk suala la kutimua madiwani wa Arusha.
Kumponza vipi..??
 
Mjomba Umekurupuka. Burning issue iliyopo ni Mafuta kwa sasa usitake kuipotezea. Na nyingine ndogo ni Je Mh. Mtemvu na Zungu wanafikiri kwa kutumia Makalio?!

Hii siyo ndogo hata kidogo. Ikithibitika viongozi wetu, yaani baadhi ya wabunge, wanafikiria kwa kutumia makalio badala ya vichwa maana yake ni kuwa hata waliowachagua nao wana tatizo hilohilo. Kwani viongozi ni mazao na wawakilishi wa jamii wanazoziongoza. Kwa kuwa hawa wabunge waliotuhumiwa wote ni wa Jiji la Dar es salaam ina maana wakazi wengi wa Jiji wanafikiria kwa kutumia makalio badala ya vichwa. Sasa hebu fikiria kama jiji la Dar ambalo ndio kitovu cha uchumi wa nchi na ndilo lenye wasomi wengi zaidi nchini lina wakazi waliochagua watu wenye kufikiri kwa makalio vipi huko Tarime na Rorya kwa akina Lameck Airo?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mjomba Umekurupuka. Burning issue iliyopo ni Mafuta kwa sasa usitake kuipotezea. Na nyingine ndogo ni Je Mh. Mtemvu na Zungu wanafikiri kwa kutumia Makalio?!

ha ha ha ha nimependa sanaa signature yako, sasa hapo ungeongezea ""mi siwezi omba mvua ikanyesha""
 
[atakayeamini upuuzi huu ni mtu aliyechizika]

Labda na yeye atakuwa anatumia ****** kufikili badala ya kutumia kichwa!! ha ha ha ha ha ha ha ha ha siasa za bongo bwana unaweza kuwa chizi hv hv!!!
 
atakayeamini upuuzi huu ni mtu aliyechizika
Labda atakuwa anatumia makalio kufikilia badala ya kutumia kichwa. Eti baadhiya wabunge wa dar, bora mimi mbunge wangu sio wa dar, kuna uwezekani yeye akawa hayumo kwenye kundi hili maana kura yangu ingeniuma sana kama niliyemchagua atatumia mawowo kufikili badala ya kutumi mbongo!!!!
 
Zitto Kabwe na Dr Kitila Mkumbo ni marafiki wa muda mrefu. Urafiki huo ulianza Chuo kikuu cha Dsm pale ambapo Dr Kitila alimbeba Zitto hadi akafanikiwa kuwa Katibu DARUSO.

Baadaye Zitto akaukwaa ubunge. Makada wa CCM wakatofautiana kuhusu mkataba wa Buzwagi. Wakampa Zitto deal la kulipua akapata umaarufu. Uchaguzi wa Chadema 2009 akambeba Dr Kitila kuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia umaarufu wake. Dr Kitila na Zitto ni wajumbe wa kamati hadi sasa.

Chanzo cha kuponzana;

1) Mwaka 2009 Zitto akataka kumvaa Mbowe kabla wazee hawajamshauri atoe kwa (HIARI?) Katika mchakato huo Dr Kitila alimuunga mkono Zitto waziwazi dhidi ya Mbowe. Dr Kitila akasema yeye ni mshauri wa kisiasa wa Zitto. Wote wakakwama.

2) Mapema mwaka huu baada ya Shelembi kufa. Zitto alishirikiana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Shinyanga kumteua Shibuda chap chap ndani ya wiki kurithi nafasi ya marehemu (uenyekiti wa Chadema mkoa wa Shinyanga) Hoja ikapelekwa kamati kuu. Zitto, Mama Zitto, Dr kitila na Shilungushela wa shinyanga wakawa ndo watu pekee waliomtetea Shibuda abaki ktk nafasi hiyo. Wajumbe wengi wote wa kamati kuu walimpinga Shibuda. Mapacha hawa nao wakakwama tena. Shibuda akatimuliwa ktk nafasi hiyo.

3) Hivi sasa kuna fununu kuwa mshauri huyo wa Zitto wanatafakari nafasi ya kumpa ikiwemo ukatibu mkuu wa Chama (Nafasi ya Slaa). Je, watafanikiwa? Harakati hizi zinaendelea wakati ambao Dr Kitila anajua uswahiba kati ya Zitto na Jack Zoka (Mkurugenzi mkuu msaidizi wa usalama wa Taifa) na Rostam Aziz zilizowekwa hadharani na gazeti la MwanaHalisi.

Sijapata msimamo wa Zitto na Kitila ktk suala la kutimua madiwani wa Arusha.

kama una akili sana katatue matatizo ya mafuta na umeme

sio kila wakati kuleta umbea

Ni watu kama wewe ndio wanaotuletea mikosi tanzania.... umbea, umbea na umbea tu

badili jina lako weka jina linaloendana na mindset yako
 
Back
Top Bottom