minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Mtukufu akisikia hivyo atawatuma polisiccm kwenda kuwapima mikojoWabunge wa ukawa wote wangeandaa mikutano majimboni kwao kwa siku moja kwa pamoja
Mtukufu akisikia hivyo atawatuma polisiccm kwenda kuwapima mikojoWabunge wa ukawa wote wangeandaa mikutano majimboni kwao kwa siku moja kwa pamoja
Kwa chadema hata wakifanya hivyo polisiccm watawatafutia kisingizio feki wavunje mkutano na kwenda kuwapima mkojoMkuu endelea kutofautisha kati ya mikutano ya ndani na mikutano ya adhara .Mbunge anaruhusiwa kufanya mikutano ya wazi, ila chama hakiruhusiwi mikutano ya wazi ila wanaruhusiwa mikutano ya ndani.
Vijana WA cdm wamekua kama vile wanyama waporini. Wao wamefundishwa kufa Na Zito tu kila alifanyalo Zito kwao in nongwa. Wanataka Zito ndio kama walivyo wakina mbatia
Zito anachama chake kina falsafa tofauti Na yenu pumbavu zenu
Umeshangaa Zitto kufanya mkutano jimboni kwake.Nini kilichokufanya useme why Zitto afanye mkutano Kigoma,wakati mikutano imekatazwa?Ahsante!
Ujinga ni pale unaposhindwa kuelewa kitu.
Hakuna sehemu niliposema Mikutano ndani ya jimbo kwa Mbunge husika imezuwiwa, hiyo maana ni yako.
Unaposoma kumbuka kubaini aina ya sentensi kwani sentensi zingine huwa ni tungo tata.
wewe ndiyo pumbavu mkubwa zito ana chama gani cha Upinzani? ACT ni tawi la CCM zito ni CCM hana lolote ni mnafiki mkubwa anajua akiwa mpinzani atapimwa mkojo ndiyo maana kakomaa CCM huko huko.Vijana WA cdm wamekua kama vile wanyama waporini. Wao wamefundishwa kufa Na Zito tu kila alifanyalo Zito kwao in nongwa. Wanataka Zito ndio kama walivyo wakina mbatia
Zito anachama chake kina falsafa tofauti Na yenu pumbavu zenu
Kumbe wewe siasa inakuchanganya, hujui hii ni njia moja wapo ya kuutangaza huo Mkutano?Umeshangaa Zitto kufanya mkutano jimboni kwake.Nini kilichokufanya useme why Zitto afanye mkutano Kigoma,wakati mikutano imekatazwa?
Zito ni kama Lipumba wote ni vibaraka wa CCM hawafai hata kidogoUmeshangaa Zitto kufanya mkutano jimboni kwake.Nini kilichokufanya useme why Zitto afanye mkutano Kigoma,wakati mikutano imekatazwa?
Kuna sheria ya kumzuia kufanya siasa kwenye majimbo tofauti na la kwake!!Yuko jimboni kwake anaruhusiwa kujimwaga
Sheria haipo kwenye katiba isipokuwa kuna Sheria binafsi ya kidikteta iliyotolewa na Mtukufu malaika wa chato ndiyo polisiccm wanaitumia sasa kukandamiza demokrasia kuwabambikia kesi na uonevu wote.Kuna sheria ya kumzuia kufanya siasa kwenye majimbo tofauti na la kwake!!
Zito ni mnafiki sana ujue hata nyumba anazoishi ni za CCM akiwa Dsm anaishi Masaki kwenye nyumba aliyopewa na Dau wa NSSF ikiwa ni Rushwa amtetee dhidi ya ufisadi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni pia akiwa Dodoma anaishi kwenye nyumba ya Hemlod mkono wa CCM pima hapo utajua Zito ni mtu wa Aina gani?acha aongee na wananchi wake
Unaweza ukanitajia baadhi ya misaada inayotumika kukandamiza demokrasia?????kwani wewe unahitaji misaada,mbona mfalme wako magufuli alisema hataki misaada,pia uache kupotosha Lissu alisema tusipewe misaada inayotumika kukandamiza demokrasia
Pesa zote zikija Tanzania magufuli anazichukua na kumpatia Lipumba na Madalali wa siasa huko CCM kudhoofisha upinzani pia zingine anawapa polisi na majani wawakomoe Wapinzani mahakamani na huko rumande.Unaweza ukanitajia baadhi ya misaada inayotumika kukandamiza demokrasia?????
Haijakatazwa kufanya mikutano. Kama wewe ni Mbunge wa Kinondoni fanya mkutano kinondoni. Kama ni Same fanya Same. Mnapotosha sana watu nyie. Mbunge, diwani wanafanya mikutano kwenye majimbo na kata zao. Hawakatazwi.Zitto Kabwe kupitia Akaunti yake ya Twitter amewatangazia Watanzania na Wananchi wote waliopo Kigoma kuhudhuria Mkutano ambao utafanyika kesho siku ya Jumaanne Kigoma Mjijini.
Kufuatia Tangazo hilo la Mkutano, baadhi ya watu wamejiuliza bila kupata majibu kama; Mhe. Zitto ameruhusiwa kufanya Mkutano huo?
Ikumbukwe kwamba Mikutano hii ya siasa iliziwiwa.
Mkiambiwa na TWAWEZA kuwa ni wajinga mnabisha!mbunge anaruhusiwa kufanya mkutano kwenye jimbo lake ndo maana juzi Tundu Lissu alifanya jimboni kwake akaomba dunia iungane kuinyima misaada ya kibanadamu Tanzania