Zitto Kabwe kufanya Mkutano wa siasa Kigoma

Yani bila aibu unaandika kabisa eti Wabunge wanaruhusiwa ....bla bla bla? Hivi hiyo ni sheria ya mwaka gani na ni kifungu kipi? Kwahiyo vyama visivyokuwa na wabunge au chama kitakachosajiliwa leo au kesho kitapataje wafuasi na wanachama kama mikutano ya kisiasa ni ruksa kwa wabunge na madiwani tu?
Ndiyo hayo aliyoyasema Halima Mdee....kuwa sasa ni rasmi kuwa kauli ya Rais ndiyo sheria...hakuna cha katiba wala nini. Na ndio maana akasema hata akisema kesho watu wote mtembee watupu mtatii tu. Kisa? Rais kasema.
Pathetic!
Nimejibu kwa mujibu wa Presidential order na fafanuzi zilizotolewa baadaye
 
Anataka kwenda kujaribu kufuta vumbi alilotimliwa na Mh Magufuli pamoja na kujipima ubavu ajue nani ni zaidi ya mwenzake.
 
Kwa kuwa ameshamsifia mfalme, mkutano wake haotokuwa na madhara yeyote kwa chama tawala so sidhani kama atapata vikwazo.
Na huenda ukawa ni mkutano wa kutangaza kuivunja rasmi ACT wazalendo ili nayeye aweze kurejea CCM kwa amani ya Bwana...
Dawa yake ipo jikoni inachemka 2020 tutamnywesha labda awahi kurudi kwa mabosi zake Lumumba
 
Sheria inayozuia watu kufanya mikutano nje ya majimbo yao imeandikwa wapi?

Huu ni unafiki na ufedhuli wa kiwango cha lami mnaoushabikia.

Hapa lengo ni kumdhibiti EL asiongee na wananchi.

Ovyo kabisa!!
ni vema ukaanzisha mada yako.
 
Huyu hatolazwa selo,ni CCM mwenzao!!!! Yuko upinzani Tangu 2005 na hajawahi ghasiwa wala lala rumande hata siku moja!!
 
Zitto Kabwe kupitia Akaunti yake ya Twitter amewatangazia Watanzania na Wananchi wote waliopo Kigoma kuhudhuria Mkutano ambao utafanyika kesho siku ya Jumaanne Kigoma Mjijini.

Kufuatia Tangazo hilo la Mkutano, baadhi ya watu wamejiuliza bila kupata majibu kama; Mhe. Zitto ameruhusiwa kufanya Mkutano huo?

Ikumbukwe kwamba Mikutano hii ya siasa iliziwiwa.
Mkuu usipotoshe umma wabunge wote wanaruhusiwa kufanya mikutano kwenye majimbo yao.
Kilichopigwa marufuku ni wabunge wa morogoro kwenda mikutano kama iringa.
 
Hivi ule usemi wa MTANZANIA YUKO HURU KWENDA SEHEMU YOYOTE ILIMRADI ASIVUNJE SHERIA. huwa ni msemo au sheria?
Naomba utofautishe kwenda "popote" na "kufanya Mkutano wa hadhara".

Kinachojadiliwa hapa ni kufanya Mkutano wa hadhara nje ya jimbo la Mbunge husika.
 
Zitto Kabwe kupitia Akaunti yake ya Twitter amewatangazia Watanzania na Wananchi wote waliopo Kigoma kuhudhuria Mkutano ambao utafanyika kesho siku ya Jumaanne Kigoma Mjijini.

Kufuatia Tangazo hilo la Mkutano, baadhi ya watu wamejiuliza bila kupata majibu kama; Mhe. Zitto ameruhusiwa kufanya Mkutano huo?

Ikumbukwe kwamba Mikutano hii ya siasa iliziwiwa.
Acha ujinga,wabunge wanaruhusiwa kabisa kufanya mikutano majimboni mwao.Kwa mfano mbunge wa Ubungo akitaka kufanya mkutano Ubungo hakuna wa kumzuia.
 
Mkuu usipotoshe umma wabunge wote wanaruhusiwa kufanya mikutano kwenye majimbo yao.
Kilichopigwa marufuku ni wabunge wa morogoro kwenda mikutano kama iringa.
Mkuu sipotoshi Umma ni sambamba na wewe ila naona hujataka tu kutafakali kwa kina sentensi "Ikumbukwe kwamba Mikutano ya siasa imezuwiwa"

Hii sentensi haimanishi Mikutano ya ndani ya jimboni kwa Mbunge husika imezuwiwa.
 
Yani bila aibu unaandika kabisa eti Wabunge wanaruhusiwa ....bla bla bla? Hivi hiyo ni sheria ya mwaka gani na ni kifungu kipi? Kwahiyo vyama visivyokuwa na wabunge au chama kitakachosajiliwa leo au kesho kitapataje wafuasi na wanachama kama mikutano ya kisiasa ni ruksa kwa wabunge na madiwani tu?
Ndiyo hayo aliyoyasema Halima Mdee....kuwa sasa ni rasmi kuwa kauli ya Rais ndiyo sheria...hakuna cha katiba wala nini. Na ndio maana akasema hata akisema kesho watu wote mtembee watupu mtatii tu. Kisa? Rais kasema.
Pathetic!
Nakushauri umpuuze tu maana ni dwarf n low iq creature

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto Kabwe kupitia Akaunti yake ya Twitter amewatangazia Watanzania na Wananchi wote waliopo Kigoma kuhudhuria Mkutano ambao utafanyika kesho siku ya Jumaanne Kigoma Mjijini.

Kufuatia Tangazo hilo la Mkutano, baadhi ya watu wamejiuliza bila kupata majibu kama; Mhe. Zitto ameruhusiwa kufanya Mkutano huo?

Ikumbukwe kwamba Mikutano hii ya siasa iliziwiwa.

Mikutano imezuiwa kwa wapinzani tu kwa maccm ni ruksa.
 
Acha ujinga,wabunge wanaruhusiwa kabisa kufanya mikutano majimboni mwao.Kwa mfano mbunge wa Ubungo akitaka kufanya mkutano Ubungo hakuna wa kumzuia.
Ahsante!

Ujinga ni pale unaposhindwa kuelewa kitu.

Hakuna sehemu niliposema Mikutano ndani ya jimbo kwa Mbunge husika imezuwiwa, hiyo maana ni yako.

Unaposoma kumbuka kubaini aina ya sentensi kwani sentensi zingine huwa ni tungo tata.
 
Zitto Kabwe kupitia Akaunti yake ya Twitter amewatangazia Watanzania na Wananchi wote waliopo Kigoma kuhudhuria Mkutano ambao utafanyika kesho siku ya Jumaanne Kigoma Mjijini.

Kufuatia Tangazo hilo la Mkutano, baadhi ya watu wamejiuliza bila kupata majibu kama; Mhe. Zitto ameruhusiwa kufanya Mkutano huo?

Ikumbukwe kwamba Mikutano hii ya siasa iliziwiwa.
Kwani Zito ni mpinzani? Kumbuka ACT ni Tawi la CCM na Zito ni kama Lipumba tu wote kazi yao ni kudhoofisha upinzani
 
Mkuu sipotoshi Umma ni sambamba na wewe ila naona hujataka tu kutafakali kwa kina sentensi "Ikumbukwe kwamba Mikutano ya siasa imezuwiwa"

Hii sentensi haimanishi Mikutano ya ndani ya jimboni kwa Mbunge husika imezuwiwa.
Mkuu endelea kutofautisha kati ya mikutano ya ndani na mikutano ya adhara .Mbunge anaruhusiwa kufanya mikutano ya wazi, ila chama hakiruhusiwi mikutano ya wazi ila wanaruhusiwa mikutano ya ndani.
 
Back
Top Bottom