OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,761
- 102,110
Zitto ni Kibaraka mwandamizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto Kabwe kupitia Akaunti yake ya Twitter amewatangazia Watanzania na Wananchi wote waliopo Kigoma kuhudhuria Mkutano ambao utafanyika kesho siku ya Jumaanne Kigoma Mjijini.
Kufuatia Tangazo hilo la Mkutano, baadhi ya watu wamejiuliza bila kupata majibu kama; Mhe. Zitto ameruhusiwa kufanya Mkutano huo?
Ikumbukwe kwamba Mikutano hii ya siasa iliziwiwa.
Kwa kuwa ameshamsifia mfalme, mkutano wake haotokuwa na madhara yeyote kwa chama tawala so sidhani kama atapata vikwazo.
Na huenda ukawa ni mkutano wa kutangaza kuivunja rasmi ACT wazalendo ili nayeye aweze kurejea CCM kwa amani ya Bwana...
hahahahahahahah haya bwana.......wewe endelea kuamini ivyoPesa zote zikija Tanzania magufuli anazichukua na kumpatia Lipumba na Madalali wa siasa huko CCM kudhoofisha upinzani pia zingine anawapa polisi na majani wawakomoe Wapinzani mahakamani na huko rumande.
MKuu akili yako itakuwa nashida,wabunge nawawakilishi wameruhusiwa kufanya mikutano kwenye majimbo yao kumbuka zitto ni mbunge wa kigoma mjn so anayohaki ya kufanya hivyo,unapoandika fanyia kazi kwanza kabla yakuandika.Zitto Kabwe kupitia Akaunti yake ya Twitter amewatangazia Watanzania na Wananchi wote waliopo Kigoma kuhudhuria Mkutano ambao utafanyika kesho siku ya Jumaanne Kigoma Mjijini.
Kufuatia Tangazo hilo la Mkutano, baadhi ya watu wamejiuliza bila kupata majibu kama; Mhe. Zitto ameruhusiwa kufanya Mkutano huo?
Ikumbukwe kwamba Mikutano hii ya siasa iliziwiwa.
Kipindi magufuli hajawa Rais alikuwa na ubinadamu sasa kawa Rais amebadilika na kuwa DiktetaWakati mwingine akili yako inapokutuma si vyema kuwaonyesha na wengine waone udogo wa hiyo akili yako.
Mbowe na Nassari nao wamemsifia Magufuli, unazungumzia nini kuhusu hao watu.
nilijua tu utauliza hili swali,insu ni kwamba misaada haifanyi shughuli husika bali hutumika kukandamiza demokrasiaUnaweza ukanitajia baadhi ya misaada inayotumika kukandamiza demokrasia?????
misaada haitumiki kwenye shughuli husikaMsaada gani uliotumika kukandamiza demokrasia?
Soma vizuri bandikoMKuu akili yako itakuwa nashida,wabunge nawawakilishi wameruhusiwa kufanya mikutano kwenye majimbo yao kumbuka zitto ni mbunge wa kigoma mjn so anayohaki ya kufanya hivyo,unapoandika fanyia kazi kwanza kabla yakuandika.
Misaada toka Ulaya ikitua Tz Mtukufu malaika wa chato huchukua hizo pesa na kuzitumia kwenye mambo ya hovyo hovyo ikiwemo kumpatia Lipumba zito cheyo Dovutwa mrema wale Wapinzani feki wote na zingine zinanunua madiwani wa chadema Arusha na kwingineko, kuwabambikia Kesi kuwakomoa kuwadhalilisha visasi na uonevu wotenilijua tu utauliza hili swali,insu ni kwamba misaada haifanyi shughuli husika bali hutumika kukandamiza demokrasia