Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,240
- 3,931
Sasa nikuulize wewe, kama unaona uongo si tuache mambo yaende? Maana sumu mnakoroga wenyewe kunywa hamtaki.Kwahiyo huo nao ukweli?
Sasa nikuulize wewe, kama unaona uongo si tuache mambo yaende? Maana sumu mnakoroga wenyewe kunywa hamtaki.Kwahiyo huo nao ukweli?
nani kakuibia?Wewe ukimkaribisha mgeni kwako akikuibia unamuacha to?
Unamaanisha watu wote wanataka waonwe na JPM? Hivi maana ya uzalendo ni nini, maana inawezekana hili neno lina tafsiri nyingi?Mtachonga Sana lakini ukweli ni kwamba JPM anachoangalia siyo chama bali watu wenye uzalendo na utayari wa kulitumikia taifa
Zitto sasa ni kama KitilaLissu nadhani ujumbe wa Zitto umeupata
Hapa ilikuwa ni kabla Mwenyekiti wa Chama chake kuhamia CCM
Huo ujumbe ni kwa Tume. Takwimu zao zinaacha maswali mengi. Na ndo maana sasa ushauri ni kuweka lebo dhahabu. Smelter tupa kule. Hukuwepo kijitonyama juzi?Lissu nadhani ujumbe wa Zitto umeupata
Uzalendo mnaohubiri ni kitu kibayaMtachonga Sana lakini ukweli ni kwamba JPM anachoangalia siyo chama bali watu wenye uzalendo na utayari wa kulitumikia taifa
Hawana cha kujifunza. Kazi waliyotumwa wamemaliza sasa ni malipoKwich kwich..... Sijaelewa anasimama wapi hapo....
kukaa katikati kama popo kumeua chama chake.
not so soon, chama kitabaki historia kama cha kina Mrema...
Hivi mbona hawa jamaa hawajifunzi?