Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Ni kweli na siyo uongo.Natabiri zito ndiye waziri wa nishati na madini ajaye
Ni kweli na siyo uongo.Natabiri zito ndiye waziri wa nishati na madini ajaye
Mwenyekiti ni mkuu wa mkoa Arusha
AnastahiliMwenyekiti ni mkuu wa mkoa Arusha
Kwani kuna tatizo Zitto akiwa Waziri?Ni kweli na siyo uongo.
Ingawa ni kigeugeu sana. Ni huyu huyu aliyesema kuwa Rais anapoteza zaidi ya billion 1.8 kwa kwa kuzuia mchanga. Lakini leo anaipongeza serikaliZitto wakati mwingine anauvaa uzalendo sana. Kwa kwa kauli hii nakupongeza
yeah.....same-o-z!here we go again
Zito alikuwa ni mjumbe katika ile kamati iliyoundwa kupitia mikataba yote ya madini, wewe unayemuita mzalendo unaweza kutuambia ile kamati ilikuja na hoja gani juu ya kufanya haya tunayoyaona leo yasitokee? zaidi ninachokiona ndani ya kamati ile ndipo hasa Zito utajiri wake ulipatikana.Team Lissu ni vigumu sana kuwaelewa wazalendo kama Zitto
Inawezekana kinana ameondoka na leja book ya majina ya wana ccmNatabiri zito ndiye waziri wa nishati na madini ajaye
Takwimu zinaonyesha kuwa shughuli za uchimbaji mkubwa wa madini zimeongezeka kwa kuanzishwa migodi mikubwa sita mipya ya dhahabu kati ya mwaka 1997 na 2007.Hivi hawa wawekezaji walivamia tu migodi na kuanza kujichimbia madini au ni sisi tuliowakaribisha?
Zitto wew ndio mpinzani mwenye akili timamu na uzalendo brooo nazani watakua wamekuelewa wale wazee wakuhongwa na acacia tunachoitaji tushinde hili na tunufaike watanzania na sio chama kinufaike kwa sifa ,,,kinachofanywa na chadema ni kutageti sifa kwa watu kitu ambacho kitatukostii taifa ,,,zitto bravo
Wazalendo ??? Kwani alipokuwa zenji si alisema hachagui mpinzani kwenye serikali yake!!Mtachonga Sana lakini ukweli ni kwamba JPM anachoangalia siyo chama bali watu wenye uzalendo na utayari wa kulitumikia taifa
mie nadhani lissu anatoa maoni yake, maamuzi yameshafanyika, lissu aonge ah asiongee bado action imeshafanyika, sioni kwa nini watu wana wasiwasi sana na comment za.lissuLissu nadhani ujumbe wa Zitto umeupata
UKIONA AMEULA NAWE VAA GAMBA UUMEZE KABISAAnataka Uwaziri baada ya mwenyekiti wake kuula