Nashindwa kukuelewa unapomtetea Mzungu aliekutawala kimabavu karne na karne na kukuibia maliasili yako! bila shaka una damu ya kizungu! huenda ama Mama ako ni Mzungu au Baba ndio mzungu!
Mimi simtetei Muarabu au Mzungu bali nazungumza kwa ushahidi kwamba kati ya Mzungu na Mwarabu ninani alietutawala Tanganyika? sasa Kama Zito Kabwe anawalaumu Wazungu kwa uthibitisho wa kutuibia mali zetu! wewe mbona unaigeuza issue hiyo kwa waarabu?
Si Zitto wala mtu yeyote atakayenifungia kwenye box la kuwaza anavyowaza yeye kwamba eti wezi wazungu ndio adui wa maendeleo yetu. Kama unataka kuongea suala la maendeleo uende kwa upana na ujadili kwa haki pasipokuwa na hidden agendas ama hila kama za Zitto.
Ukipata nafasi tuwasiliane kwenye private boxes tuanzishe threads mbili. Moja ilinganishe athari hasi na chanya kati ya ujio wa Wazungu na waarabu katika tanganyika. Usikubali kukaririshwa mambo.
Thread nyingine tujadili ubora na udhaifu wa utawala wa Wazungu na CCM. Siasa za kukariri bila kufanya analysis hazitufikishi tunapotaka kufika.