jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Juhudi za ujenzi wa Reli ya Kati ni juhudi za kimaendeleo na hazina budi kupongezwa na kila mpenda maendeleo. Reli ina faida kubwa kwa nchi na Kiongozi yeyote anayefanya maamuzi muhimu kama haya hana budi kupongezwa kwa dhati". Zitto Kabwe.
Haya ni maoni ya ZZK.
Haya ni maoni ya ZZK.