Niliposikia LISSU kashambuliwa akiwa kwenye gari nilishangaa sana - mtu unalipwa zaidi tshs 12M kwa mwezi halafu unatembea na gari linaloruhusu risasi kupenya
Zipo gari nyingi mpya au used tena za bei ndogo ambazo hata ziangukiwe chuma ww unadunda tu afu mnafanya masihala. Nitoe rai kwa waovu kutotumia mwanya huo kuichanganisha serikali kupitia kupanga njama za kipuuzi.