Mikomangwa
Senior Member
- Sep 30, 2010
- 100
- 3
Jamani kazi aliyoifanya kijana Zitto pale mjini Musoma inaumbua kura za maoni za REDET na Synovate. Wana wa Musoma walisahau kama kuna kampeni za mgombea urais wa CUF na kutembea kilomita mbili nje kidogo ya mji kwenda kuwaona makamanda Zitto na Vicent wakilishambulia jukwaa kwa matumaini ya ushindi. Tumshauri Zitto aende pia jijini Mwanza akakate mzizi wa fitna.