Zitto Kabwe alaumu Tanzania kutopiga kura kulaani vitendo vya unyama dhidi ya Rohingya huko Myanmar

Siasa zetu za nje zimekuwa vituko. Tanzania kutowatetea wanaoteswa siyo sahihi kabisa, lakini tatizo nchi hii wachawi na wenye roho mbaya wametamalaki kila upande....matokeo yake ndiyo haya.
Sad.
 
upinzani upo kimya kabisa kutokana na mauaji ya raia wasiokua na hatia huko kenya; kwa kuwa tu Serikali iliyopo madarakani wanaiunga mkono.

Wewe ushazoeleka hujui kusoma au ubongo umejaa nnya maana kinachozungumzwa kingine wewe umerukia kingine !
 
Ni sawa zitto kuhusu Myanmar ...vp kuhusu Syria ...VP kuhusu Iraq ...central Africa ???
Swal kwann Tanzania haijapiga ile kura n simple

Wale n waislam wanaouwawa kule ila ingekuwa upande wa pili mngeona ...

Angalia hta vyombo vya habar hapa tz wanatoa uzigo kwa mamia ya RAIA wa Syria ..Iraq au Myanmar wanavouwawa na magaid wakirus ..kimarekan na mabudha ....ila wakiuwawa ndugu zao america au uingereza watu watano huku utaona mijadala mingi sana coz n wenzao ktk iman .......

Magazet yanayojiita ya kiislamu n upuuz mtupu yanayoandikwa ...na wameshindwa kuitumia nafas yao kuueleza dunia ukwel ukoje
 
Ingekuwa wanao uwawa na kubakwa ni wakatoliki tungekuwa wa mwanzo kupiga kura ya ndio.

Kwani wapalestina ni wakatoliki au maana Nyerere alikuwa nao pamoja mpaka tukakata wazayuni kuwa na ubalozi wao Tanzania,nakushauri acha mawazo ya kipumbavu ,wewe ikosoe sirikali ya awamu ya tano kwenye hilo swala uache mambo mengine ya kipimbi
 
Ni sawa zitto kuhusu Myanmar ...vp kuhusu Syria ...VP kuhusu Iraq ...central Africa ???
Swal kwann Tanzania haijapiga ile kura n simple

Wale n waislam wanaouwawa kule ila ingekuwa upande wa pili mngeona ...

Angalia hta vyombo vya habar hapa tz wanatoa uzigo kwa mamia ya RAIA wa Syria ..Iraq au Myanmar wanavouwawa na magaid wakirus ..kimarekan na mabudha ....ila wakiuwawa ndugu zao america au uingereza watu watano huku utaona mijadala mingi sana coz n wenzao ktk iman .......

Magazet yanayojiita ya kiislamu n upuuz mtupu yanayoandikwa ...na wameshindwa kuitumia nafas yao kuueleza dunia ukwel ukoje

Acha kushikiwa akili na kina Ponda wanaotumia dini kujipatia kipato unachotakiwa ujiulize mbona tuliwaunga mkono Palestina all the time mpaka alipokuja mjinga mmoja kuvunja miiko yetu hivi karibuni
 
huyo kibaraka kwelii hajui asemacho kwani abstain sio kura??hiyo ni kura ya kutofungamana na upande wowote,aache kuwarubuni watu labda wa huko kwao Kigoma. nchi 26 imepiga kura ya kutofungamana na jambo hilo 10 wamekataa,mwambieni aache kukurupuka na ajue hata kuabstain nayo ni kura.
kuna tofauti kubwa kati ya kutokupiga kura na abstention.
Yan watu wanadhulumiwa na kuuwawa wew unapiga kura ya kutokubaliana na upande wowote ????....

Mbna mlipolazmishwa kusain sheria ya ugaid ....na ilhal mkijua hao wanaowalazmisha kusain ndio magaid wakubwa .....mbna hamkujizuia kutokufungamana na upande wowote ...

Huu n zaidi ya unafik
 
Hata tukilaani haitasaidia wasiendelee kuuwana ni unafiki tu ndiyo unasumbua hawa wanaojifanya kulaani bila hatua sitahiki hawa jamaa hawajaanza leo kuuwana ila hatujaona hatua stahiki zikichukuliwa na mataifa makubwa si wapeleke walinzi wa umoja wa mataifa
Hawauwan ...isipokuwa mabudha ndio wanaowaua waislam wa rohingya sabb ya iman yao
 
Yule zitto wa zamani, mwenye kuleta changamoto za kimaendeleo ktk taifa letu leo yuko wapi?
 
Mbunge wa Kigoma Mjini, (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe ameshangazwa na nchi ya Tanzania kutopiga kura kulaani vitendo vya unyama na ukatili unaofanywa na Serikali ya Myanmar.

"Juzi Umoja wa Mataifa kulikuwa na kura ya Azimio la kulaani vitendo vya unyama dhidi ya watu wa kabila la Rohingya huko Myanmar. Nchi yetu ya haikupiga kura (abstained).

Kitendo cha aibu sana Tanzania kushindwa kulaani vitendo vya namna hii. Sera yetu ya Mambo ya Nje imebadilika mno tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani.

Kule Rakhine State Myanmar watu wanauawa, watoto wa kike wanabakwa (sijui makamu wa rais Samia Suluhu Hassan anajisikiaje kuona wizara yake ya mambo ya nje inaona aibu kukemea ubakaji wa watoto wa kike).

Che Guevara alipata kusema kuwa rafiki yangu ni yule ambaye anatetemeka akisikia tu kuna mtu anaonewa popote pale duniani. Tanzania ya leo sio tu haitetemeki, inaona aibu kukemea uvunjifu wa haki za binadamu ". Amemaliza kwa kuandika hivyo kwenye ukurasa wake wa Twitter, Zitto Kabwe
Yeye aliwahi kukemea yaliyotokea Kenya hii juzi?
 
Katika hilli Mr.mahinga hatumii ubobezi wake has a katika awamu hii viongozi wrote wanafanya lile ambalo mamlaka ya juu inataka.
Kushikwa akili ni tatizo kubwa sana!!!!
WEWE ULITAKA MAHIGA AFANYE AMBACHO UPINZANI UNATAKA????
HUJUI KUWA YEYE ANAWAKILISHA MAMLAKA YA JUU AMBAYO NI RAIS???? NA RAIS ANAWAKILISHA MAMLAKA YA JUU AMBAYO NI WANANCHI?????
HIVI SIKU HIZI DR MASHINJI NA MAKONGORO NA LOWASSA NA SUMAYE WAMEWAFANYA NINI NINYI VIJANA?????
 
Yan watu wanadhulumiwa na kuuwawa wew unapiga kura ya kutokubaliana na upande wowote ????....

Mbna mlipolazmishwa kusain sheria ya ugaid ....na ilhal mkijua hao wanaowalazmisha kusain ndio magaid wakubwa .....mbna hamkujizuia kutokufungamana na upande wowote ...

Huu n zaidi ya unafik

Nakushauri kaisome dini na uielewe ili uache kutetea ujinga na upumbavu
 
Ni sawa zitto kuhusu Myanmar ...vp kuhusu Syria ...VP kuhusu Iraq ...central Africa ???
Swal kwann Tanzania haijapiga ile kura n simple

Wale n waislam wanaouwawa kule ila ingekuwa upande wa pili mngeona ...

Angalia hta vyombo vya habar hapa tz wanatoa uzigo kwa mamia ya RAIA wa Syria ..Iraq au Myanmar wanavouwawa na magaid wakirus ..kimarekan na mabudha ....ila wakiuwawa ndugu zao america au uingereza watu watano huku utaona mijadala mingi sana coz n wenzao ktk iman .......

Magazet yanayojiita ya kiislamu n upuuz mtupu yanayoandikwa ...na wameshindwa kuitumia nafas yao kuueleza dunia ukwel ukoje
We kweli ni `member' hapa jf hadi ktk namna ya kufikiri. hiv kwa nini nyie huwa mpo senstive sana na jina `dini'
 
Pumbavu zao na shenzi kabisa. Mungu awalaani kenge hao.

Ingelikuwa awamu ya 4 ingesaini huo unyanyasaji unaofanywa na wapumbavu na wasenge,,, lakini awamu ya huyu msukuma bure kabisa.
 
Namshauri Zitto angetumia muda na nguvu hizi kujenga chama chake japo kilingane na Tlp
Maana TLP hadi sasa ina uongozi uliosimama
Kwa nn yeye vyeo vikubwa kajilimbikizia mwenyewe?????hebu afanye uchaguzi ktk chama

Mtu anayeshindwa kuitunza familia yake kazi nyingine kubwa hawezi
Yani anashindwa kuongoza kichama chake kichanga halafu anarukia mambo ya nchi ambayo yako juu ya ufahamu wake...Pambana na hali yako kwenye chama kwanza
 
Back
Top Bottom