Utakiponda chakula ulichokiandaa?Kitilia kumbe zile zote zilikuwa njaa?
Hakika Mungu anakuona
Mkuu hili liko tu sawa na issue ya ripoti ya Mruma juu ya makinikia. Wengi tulikimbilia kupongeza kazi "nzuri" ya tume kabla ya kuitafakari kisomi na kitaaluma. Tulipofanya uchambuzi ndio tukaja kugeuka na kuiita rubbish...kwa maana haikuwa na uhalisia. Huwezi kuwa na kiwango kikubwa kiasi hicho kwenye mchanga wa Buzwagi na Bulyanhulu.Kama wabunge walifuraia kushikwa kwa mchanga,na kusahau kuwa dhahabu bado inasafirishwa,wataacha kufuraia kufutwa kwa kodi ya roadlicens,na kuongeza kodi kwenye mafuta kweli?
Zito hana msaada kwa nchi hiiZitto anasema watu wamepotezwa na hatua za kupunguza kodi tu ambazo hazimaanishi chochote na seriakali ya awamu ya tano itapata anguko kubwa la kiuchumi ambalo halijawahi kutokea Tanzania
View attachment 521587
Kitila Mkumbo anaifagilia bajeti na pia anajivunia kuwa kati ya watu walioiandaa
View attachment 521586
Kwani ya mwaka Jana waweza tuwekea matumizi yake?Mara baada ya bajeti ya mwaka jana Zitto alitoa kauli kama hii. Mwaka juu ameirudia tena. Nani anashangaa?
Mngese weweHujui hata unachoandika ni kitu gani. Eti unasema, inaweza kuwa worse or vice versa. Hapo tu, mbobezi wa masuala ya uchumi atang'amua kwa sababu hulipi kodi kwa kupost hapa JF, ndiyo maana umeamua kuandika huo utumbo. Umesoma vizuri bajeti iliyowasilishwa jana? umesoma financial indicators katika mabenki yetu? mfumuko wa bei upo kiasi gani sasa? single digit. Siyo? Hivi unajua nchi hii mfumuko wa bei uliwahi kufika 30% mwanzoni mwa miaka ya 90s. Leo upo chini ya aslimia 6% wewe unaandika utumbo wako hapa. Jaribu kutumia hekma na busara. Acha kuleta stori za vijiweni, kwenye migahawa na wanywa viroba.