Zitto Kablwe ndani ya Clouds FM

Zitto Kablwe ndani ya Clouds FM

​nimetune radio ya wafu ni kweli amezungumza vitu vya msingi ila tatizo tu sio wa kumuamini mana ni MNAFIKI
 
Kamanda naona anajaribu kujiweka karibu na wananchi ili kujisafisha kwa mambo yaliyokuwa yanaendelea kati yake na Kafulila.Nimewahi kuuliza kuwa hiyo acc ya fb ya Zitto inayopost mambo ya ajabu yasiyoendana na jina alilonalo kwa watanzania ni ya kwake keli!..Tupeni data zaidi anachozungumza ....
 
Anasema anampango wa kuwaunganisha wabunge vijana ili waweze kupanga mkakati wa kuongeza ajira kwa vijana wa Tanzania. Anataka kupeleka hoja binafsi bungeni kuhusu ajira kwa vijana. Nafikiri amefikia huko kutokana na kile kilichomtokea jimboni kwake.

Hapa Kigwangala na Lusinde ndani, plus viti maalum kwa kuwa kuna vijana wengi sana.
 
Zitto inabidi tuwe naye makini sana, kweli kigeu geu. Kwenye redi umekosea au ni makusudi?

kigeugeu kwan kawageuka kwenye nini?kutumia haki yake kugombea uenyekiti cdm,kutangaza haki yake ya kikatiba kuwania urais 2015,au kuwaambia hamuwez kuendesha siasa bongo bila kumtambua jk,tatizo lenu wengi mnachukulia siasa kama mpira kuwa mpinzan wako kisiasa hawez kupatia au mwanchama mwenzenu hawezi kukosolewa,kama kigeugeu mbona mh.mboe kamteua kwenye serikali kivuli,kuna baadhi yenu kila anachofanya zitto nyie mnakosoa tu!jifunzeni maana ya demokrsia kama inavyoonekana kwenye chama chenu kondoa makov ya kiakili vichwan mwenu,achen nongwa za kisiasa,zitto anasifa zote za uanasiasa wa kweli!!
 
huyu zitto haeleweki amepewa kamati ya madini rakini hakuna anacho fanya alikwenda buynhulu hawataki hata kuwasalimia wazawa wao huwa na wazungu tu washwehiri hata saram tu hupati sasa sijuwi leo clouds fm anangea nini sijuwi huu ndoo wasiwasi wanngu huyu zito CHADEMA HOOOOO????
 
Anasema anampango wa kuwaunganisha wabunge vijana ili waweze kupanga mkakati wa kuongeza ajira kwa vijana wa Tanzania. Anataka kupeleka hoja binafsi bungeni kuhusu ajira kwa vijana. Nafikiri amefikia huko kutokana na kile kilichomtokea jimboni kwake.
Mkakati wa kuongeza ajira kwa vijana sio wa kisiasa kwa kuwaalika wabunge vijana. Utekelezaji wake ni either waibane serikali ibadili sera za kiuchumi ili kutoa nafasi zaidi kwa vijana kujiajiri au yeye na wabunge wenzie vijana wafungue biashara ndogo na kubwa zitakazotoa ajira kwa vijana kupitia kwenye mtaji wa posho walizojiongezea. Kikubwa aelewe kuwa ajira hazipatikani majukwaani, zinapatikana either ofisini au shambani.
 
Anasema yy mwenyewe anapata shida juu ya national ID,Coz nchi imekosa misimamamo juu ya mambo mbalimbali tofauti na zamani[zitto mwenyewe mmm,75% ndumilakuwili,haaminiki hata chembe ya roho wacha chembe ya moyo]
 
Back
Top Bottom