Zitto hiyo si demokrasia

Zitto hiyo si demokrasia

Kweli wewe ni mateka wa Mbowe, Eti jimbo linaitwa "Mbowe" lipo mkoa upi hilo jimbo mkuu??
 
Akili ya Zitto nyie Bavicha wote hata robo hamuwezi kumfikia achalia mbali ma boss wenu.
...ingekuwa hivyo angeweza kusimama kama mwanaume kuliko kujikomba komba kwa chadema na nccr kila kukicha, hamnamo kitu mlee bhahahhaaaaa...!! debe tupu kelele kibaaaoo..
 
Sasa yeye ashachukua fomu na kurejesha, ratiba inatoka nyuma yake, sielewi hapo ebu mnijuze vzr ikoje?
 
Kwani Ritz uko ACT- Wasaliti au? Maana kila thread sumo au kwakuwa chama chetu B?
 
Huyu Bavicha kaokota maneno kwenye vijiwe vya mbege na kuleta JF anajua kabisa wapo pro-Chadema watakubaliana naye bila kuhoji hali muradi katajwa Zitto.
Mkuu hata kwenye mwezi mtukufu unatetea majambazi?
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwenu wakuu.

Wakati Zitto kabwe akikwaruzana na viongozi wenzake ndani ya CHADEMA alidai kuwa anapambana na mfumo WA kihafidhina ndani ya chama na kwamba alikuwa anapigania chama kuendeshwa kama taasisi na si kwa maamuzi ya MTU mmoja au watu wachache.

Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kujiunga na ACT Zitto alijitanabaisha kwamba watajenga taasisi ya kidemokrasia yenye kutoa haki sawa kwa wanachama wote. Hivi karibuni Halmashauri kuu ya chama hicho ilitoa ratiba ya uchukuaji fomu na uteuzi wa wagombea WA nafasi za udiwani, ubunge na urais kwa tiketi ya chama hicho.

Cha ajabu hata kabla wanachama hawajaanza kuchukua fomu Zitto ameshateua na kuwatangaza watu wake watakaogombea ubunge kwenye baadhi ya majimbo bila kufuuta utaratibu wala kuteuliwa na kikao chochote! Wamefanya hivyo kwenye majimbo ya Bukombe, Kahama, Mbowe, Biharamulo na sasa baadhi ya wanachama wanaotaka kugombea kwenye majimbo hayo wameanza kulalamika.

Kwa demokrasia hii ya Zitto ni halali kweli au ndiyo udikteta unaanza kukijenga kwenye chama hicho?

Nyani haoni ----- lake kweli babu slaa mbona ameisha tangazwa kama ndio mgombea wa urais Chadema hujaniona hiyo
 
duh zitto anatetewa na ritz1, dah hivi zitto nae yumo eeeh duh? 30u3@""$""%252"4!XX Huku kama sio kuchanganyikiwa ni nini.

ila tuna jua ndani ya ccm sasa hivi hali si shwari
 
Zito na wafuasi wake wote ndorobo tuu. Sin kadi ya chama chochote na miaka yangu hii.lakini Mara nyingi najiuliza chama tawala ni chadema CCM hama ACT, hivi vyama upinzani vinapambana na chama gani? Chadema, hama CCM. Nawaza tuu. Kama zito anajinadi sana kwa kuponda CHADEMA ni ndorobo x 1000. Chama tawala ni CCM.

Ndo maana muda mwingine uchelea kusema ACT ni tawi la CCM sioni wakiongeza nguvu kuiondoa madarakani wanatumia nguvu kuivunja cdm. Sioni wakivuna wanachama wapya zaidi ya cdm. Ina maana hawana mawazo ya kuiongoza nchi coz makao makuu yao ambayo CCM tayali inaongoza nchi mchana kweupe na wao tawi la CCM Wanafanya ya kuangalia na kuipoteza binafsi nashindwa kusema ndorobo

Na hawa CDM wanaoiandama ACT nao tuwaitaje?? Maana huu Uzi umeletwa na Mwana CDM akihangaika na zito badala ya CCM
 
Heshima kwenu wakuu.

Wakati Zitto kabwe akikwaruzana na viongozi wenzake ndani ya CHADEMA alidai kuwa anapambana na mfumo WA kihafidhina ndani ya chama na kwamba alikuwa anapigania chama kuendeshwa kama taasisi na si kwa maamuzi ya MTU mmoja au watu wachache.

Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kujiunga na ACT Zitto alijitanabaisha kwamba watajenga taasisi ya kidemokrasia yenye kutoa haki sawa kwa wanachama wote. Hivi karibuni Halmashauri kuu ya chama hicho ilitoa ratiba ya uchukuaji fomu na uteuzi wa wagombea WA nafasi za udiwani, ubunge na urais kwa tiketi ya chama hicho.

Cha ajabu hata kabla wanachama hawajaanza kuchukua fomu Zitto ameshateua na kuwatangaza watu wake watakaogombea ubunge kwenye baadhi ya majimbo bila kufuuta utaratibu wala kuteuliwa na kikao chochote! Wamefanya hivyo kwenye majimbo ya Bukombe, Kahama, Mbowe, Biharamulo na sasa baadhi ya wanachama wanaotaka kugombea kwenye majimbo hayo wameanza kulalamika.

Kwa demokrasia hii ya Zitto ni halali kweli au ndiyo udikteta unaanza kukijenga kwenye chama hicho?

Hii taarifa kaiandae vizuri, unless huwezi kulipwa na waliokutuma.
 
Mkuu vipi Mbowe amekuwa supreme leader pamoja na mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hawa wote marufuku kuwapinga ukijaribu tu kuwapiga utajuta utafukuzwa kama paka.



Sasa CUF wao kila baada ya Miaka 5 huwa wanabadilisha wagombea Urais huko Zanzibar na kwa Tanzania???

Naona toka 1992 Wana Either kwa Tanzania LIPUMBA 1 au 2 au 4 na kwa Zanzibar wana SEIF HAMAD 5 au 6 au 4 kila mwaka Mashati Mapya na Miongozo mipya...

Nadhani pia EMMANUEL MAKAIDI na yule MCHUNGAJI MTIKILA wote Wanaamua lini wanagombea Urais na wewe
Ritz haulalamiki///???....

Lakini Umebakiza Chuki kwa CHADEMA kwasababu unaona ndio TISHIO kwa Ulaji wenu ndani ya nchi HURU iliyokuwa inaitwa TANGANYIKA...



"If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor"


Their hearts are cold, often full of prejudice and even hate...


‘It's the old metaphor isn't it; you can lead the horse to water but you can't make it drink
 
Back
Top Bottom