BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,587
- 918
Zito na wafuasi wake wote ndorobo tuu. Sin kadi ya chama chochote na miaka yangu hii.lakini Mara nyingi najiuliza chama tawala ni chadema CCM hama ACT, hivi vyama upinzani vinapambana na chama gani? Chadema, hama CCM. Nawaza tuu. Kama zito anajinadi sana kwa kuponda CHADEMA ni ndorobo x 1000. Chama tawala ni CCM.
Ndo maana muda mwingine uchelea kusema ACT ni tawi la CCM sioni wakiongeza nguvu kuiondoa madarakani wanatumia nguvu kuivunja cdm. Sioni wakivuna wanachama wapya zaidi ya cdm. Ina maana hawana mawazo ya kuiongoza nchi coz makao makuu yao ambayo CCM tayali inaongoza nchi mchana kweupe na wao tawi la CCM Wanafanya ya kuangalia na kuipoteza binafsi nashindwa kusema ndorobo
Ndo maana muda mwingine uchelea kusema ACT ni tawi la CCM sioni wakiongeza nguvu kuiondoa madarakani wanatumia nguvu kuivunja cdm. Sioni wakivuna wanachama wapya zaidi ya cdm. Ina maana hawana mawazo ya kuiongoza nchi coz makao makuu yao ambayo CCM tayali inaongoza nchi mchana kweupe na wao tawi la CCM Wanafanya ya kuangalia na kuipoteza binafsi nashindwa kusema ndorobo