Kitungamirwa
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 344
- 106
Slaa amegombea urais mara ngapi?Mkuu vipi Mbowe amekuwa supreme leader pamoja na mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hawa wote marufuku kuwapinga ukijaribu tu kuwapiga utajuta utafukuzwa kama paka.
Slaa amegombea urais mara ngapi?Mkuu vipi Mbowe amekuwa supreme leader pamoja na mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hawa wote marufuku kuwapinga ukijaribu tu kuwapiga utajuta utafukuzwa kama paka.
Naona umeingia kichwa kichwa kwenye mada mleta mada anakuambia kuna jimbo la Mbowe Zitto kaenda kuweka mgombea wake.Kwani kumwanika kwamba ameshindwa kusimamia kauli yake ni kumfuatilia/kuishauri act?
utanikenulia sana meno this timeKwi kwi kwi kwi
Teh teh teh teh
Zomea ya Bukoba iliandaliwa na nani?pitia upya sababu za Msaliti kuzomewaZomea zomea ni kitendo cha kukosa hoja na kuzidiwa na mpinzani,Imethibitika kuwa hao wazomeaji waliandaliwa na CHADEMA Geita chini ya Uratibu wa Alphonce Mawazo. Uhitaji kuwa na akili kubwa kulitambua hili.
Ninyi zomea,mwenyewe anatowa Elimu ya Uraia nchi nzima.
Zitto kaishamalizana na Chadema lakini cha kushangaza Chadema bado wanaofuata mpaka ACT - Wazalendo.
Toka lini wafuasi wa Chadema wakawa washauri wa ACT - Wazalendo.
Mkuu ungeaanza kwanza na Mbowe amekuwa kama mfalme anajiongezea muda tu na kuchakachua kipengere cha katiba ya chama hamna ukomo wa uongozi sana Mbowe anaendelea kwa Mwenyekiti wa Chadema mpaka achoke mwenyewe.
Badala ya kupambana na hili unapambana na Zitto ambaye hayupo Chadema.
Tume ya Uchaguzi imeongeza jimbo jipya ka uchaguzi linaitwa jimbo la Mbowe msome Bavicha mwenzako hapo juu anasema Zitto kaenda kwenye hilo jimbo kuweka mgombea wake kinyume na taratibu za ACT - Wazalendo.utanikenulia sana meno this time
Dr.Slaa mara mbili?!!we kweli ZombiMara ya pili na mara zote ndani ya Chadema
Mleta mada kasema hivi...Na wewe unabidi utulize akili usiwe kama nyumbu kukariri, si kila anamzungumuzia zitto ni mwana chadema hata maccm yanaweza kufanya hivyo.
Mara ya kwanza kapigwa chini mara ya pili wenyewe mnasema atagombea mwaka huu ushahidi uzi wako mwenyewe "Special thread Dr.Slaa".Dr.Slaa mara mbili?!!we kweli Zombi
zitto ni mzito kama gunia la misumari
kwa hio kama Mbowe na Dr Slaa wamefanya hivo na zito pia afanye hivyo?
Akili za kipimbi hizi
kwanini msiachane na zitto mkafanya yenu?Pole zitto
Narekebisha typing error, namaanisha jimbo la Mbogwe mkoani Shinyanga. Sasa tujadili hoja nani kampa Zitto mamlaka ya kuteua wagombea ubunge? Kama alikimbia uvunjifu WA katiba CHADEMA mbona yeye anafanya Yale Yale kwa kuvunja katiba ya ACT?Naona umeingia kichwa kichwa kwenye mada mleta mada anakuambia kuna jimbo la Mbowe Zitto kaenda kuweka mgombea wake.
Huko ndiyo kuanika?
Wewe kweli unaamini Tanzania kuna jimbo la uchaguzi linaitwa Mbowe?
Mzalendo halisi lazima akemee ukiukaji wa katiba yoyote ile hata kama si mwanachama. Hatuwezi kuona watanzania wenzetu wananyanyaswa kwenye chama chao na mtu aliyejipachika cheo cha ayatullah.kwanini msiachane na zitto mkafanya yenu?
zitto ni mzito kama gunia la misumari
kwa hio kama Mbowe na Dr Slaa wamefanya hivo na zito pia afanye hivyo?
Akili za kipimbi hizi
nyie mshamfukuza inatosha jamani, hata hivyo vikundi vya kuzomea unazani vinafanya uzalendo?Mzalendo halisi lazima akemee ukiukaji wa katiba yoyote ile hata kama si mwanachama. Hatuwezi kuona watanzania wenzetu wananyanyaswa kwenye chama chao na mtu aliyejipachika cheo cha ayatullah.
Tume ya Uchaguzi imeongeza jimbo jipya ka uchaguzi linaitwa jimbo la Mbowe msome Bavicha mwenzako hapo juu anasema Zitto kaenda kwenye hilo jimbo kuweka mgombea wake kinyume na taratibu za ACT - Wazalendo.
Teh teh teh