Zitto: Hazina yetu sio salama kabisa

Zitto: Hazina yetu sio salama kabisa

Mimi nadhani CAG angekuwa anamalizana na vyombo vya serikali tu kwa maana ya Takukuru, Polisi na DPP, haya mambo ya sijui PAC ni ulaji na siasa tu hayana tija yoyote.

Hawa akina Sugu, Kibajaji na Msukuma ndio wa kupitia ripoti ya CAG kweli?........ Nchi za wenzetu mbunge ni lazima awe na japo ka degree!
Change ana doctorate kumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa Bunge leo amefanya preemption ya Taarifa ya PAC inayoingizwa Bungeni kesho. Anasema mimi muongo kwa kusema kuwa TZS 1.5T hazikuonekana katika Ukaguzi wa Hazina. Kesho PAC watatoa Taarifa na pia Taarifa ya CAG itawekwa wazi. Wananchi, Hazina yenu sio salama kabisa
Mbaya sana kutumia pesa ya watanzania wote kwa matakwa yako binafsi.

Ipo siku utatuambia uliruhusiwa na nani?
 
Huyu Zito kwa sababu hahongwi siku hizi ndo anadhani hazina haina kitu!? Akili za Zito wanazijuaga chadema tu, ataishia kunawa tu awamu hii, hali. Ni dhahiri chama chake kina hali mbaya sana.
Kwani ameanza awamu hii? Zitto anawapeleka puta eee?
 
Sasa ninyi kina Zito naamini mna ile nakala ya ripoti ya CAG.
Wakija na ujanja wa kunyofoa page au kubadili namba mtawapa OG live bila chenga.
Wekeni kumbu kumbu sahihi.
Wekeni na utetezi wa slo sloo.
Wekeni na jitihada za kuzipeleka hizi pesa kwenye serikali ya ZNR nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani CAG angekuwa anamalizana na vyombo vya serikali tu kwa maana ya Takukuru, Polisi na DPP, haya mambo ya sijui PAC ni ulaji na siasa tu hayana tija yoyote.

Hawa akina Sugu, Kibajaji na Msukuma ndio wa kupitia ripoti ya CAG kweli?........ Nchi za wenzetu mbunge ni lazima awe na japo ka degree!
Amalizane na vya UDOLA tuu..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haiwezekani, muhimu ni reports zake Baada ya kujadiliwa ndy zipelewe kwa hao wahusika kwa actions.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mitandao ya kijamii imekuwa jukwaa la udaku.

Yaani tuna safari ndefu ya kutumia mitandao ya kijamii kwa maendeleo km kwa biashara (e-commerce); elimu; afya nk.
Sasa jukwaa la biashara si lipo nenda kule.
 
Ukiona Zitto ana hangaika hivi ujue hakuna pesa iliyo ibiwa wala kupotea......Zitto kapigwa chenga hahahaha
ukiona sirkalii imekosa cha kujibu ila inamtumiaa kupunguani wao msiba kujibu vitu vya msingii ujuwe ujue viongozii ni VILAZA
 
Spika wa Bunge leo amefanya preemption ya Taarifa ya PAC inayoingizwa Bungeni kesho. Anasema mimi muongo kwa kusema kuwa TZS 1.5T hazikuonekana katika Ukaguzi wa Hazina. Kesho PAC watatoa Taarifa na pia Taarifa ya CAG itawekwa wazi. Wananchi, Hazina yenu sio salama kabisa
Zitto amekula sana kwenye hizo kamati enzi zake. Je mashirika ya umma yalikuwa salama?
 
Philosophically kipofu hataweza kumuongoza kipofu mwingine kwa matembezi ya Dar Moro. Imagine vipofu wawili wanasindikizana. Zitto hapana sikubali
 
Kama nimemsikiliza vizuri Mh Ndungai, hiyo ripoti ikisomwa hakutaonekana neno 1.5 Tri. Iwe kwa kumbukumbu au kwa typing error. Kwa sababu, alisema, nami namnukuu; Prs. Alimuuliza CAG; Je, kuna upotevu wa 1.5 Tri? Naye CAG akajibu; Hakuna kitu ka hicho.
Sasa leo, atatoa wapi hiyo 1.5 tri??
Nadhani, hiyo kesho ndo mwisho wa ZZK. Kikombe chake kimefurika. Atafukuzwa bungeni na amri kutoa ripoti yake ya ilikuwaje. Akiwa huku nje, mwenye nchi atamshughulikia kwa kutoa data za uongo ambacho ni kinyume na sharia. Jus mark ma words.
Segerea haijai bali nafasi zipo kila uchwao
 
Wapi mnapiga deki bahari ,kwenye ukweli uongo hujitenga ,si mlisema zingine zilienda Zanzibar mzionyeshe ingawa mmeshaanza kukana kauli .
 
kila mbunge anakomba hazina zaidi ya million 1000tsh, baada ya hapo anakomba tena million Kama 300tsh,
[emoji115]
Vip mlalamike na kudanganya kuhusu hazina wakati mnayajua hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom