Zitto: Hazina yetu sio salama kabisa

Zitto: Hazina yetu sio salama kabisa

Tayari umeshamjibu Zito hapo?. Kweli ninyi ni uharo kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Zito kwa sababu hahongwi siku hizi ndo anadhani hazina haina kitu!? Akili za Zito wanazijuaga chadema tu, ataishia kunawa tu awamu hii, hali. Ni dhahiri chama chake kina hali mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini fedha za Serikali zisitumike kama ilivyopitishwa na Bunge kwenye bajeti ya Serikali?. Makando kando ya nini?.
 
Huyu Zito kwa sababu hahongwi siku hizi ndo anadhani hazina haina kitu!? Akili za Zito wanazijuaga chadema tu, ataishia kunawa tu awamu hii, hali. Ni dhahiri chama chake kina hali mbaya sana.

Zitto anajaribu kukutetea wewe mburura usiye na mbele wala nyuma, umeshikiwa akili na watawala..
 
Sheria ya kuchaguliwa mume au mke, Chama, Kazi nk I nakuja next year Zito subiri
 
Mimi nadhani CAG angekuwa anamalizana na vyombo vya serikali tu kwa maana ya Takukuru, Polisi na DPP, haya mambo ya sijui PAC ni ulaji na siasa tu hayana tija yoyote.

Hawa akina Sugu, Kibajaji na Msukuma ndio wa kupitia ripoti ya CAG kweli?........ Nchi za wenzetu mbunge ni lazima awe na japo ka degree!
Tena hii hatari kwa maslahi ya umma karne hii bado tunakumbatia la saba kututungia sheria kweli??
 
Mitandao ya kijamii imekuwa jukwaa la udaku.

Yaani tuna safari ndefu ya kutumia mitandao ya kijamii kwa maendeleo km kwa biashara (e-commerce); elimu; afya nk.
Itakuwa kwako wewe..

Kule Twitter kuna #TwitterGulio hii ni ya kibiashara, kuna #ElimikaWeekend hii ni ya masuala ya Afya na mambo mengine mengi ya kujenga..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa waziri wa fedha ningemchukua ZZK na kumpeleka hazina akaone kwa macho yake.

Lkn hata ivo itakuwa ni kumpandisha chat bure kama anakasumba ya kutowaamini wenye dhamana hata ukimpeleka pale atatoka na kusema zile ni Pesa zilizoazimwa hazina ya Kenya kufanya kiini macho.

Nafikiri tumuache tu kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Zito kwa sababu hahongwi siku hizi ndo anadhani hazina haina kitu!? Akili za Zito wanazijuaga chadema tu, ataishia kunawa tu awamu hii, hali. Ni dhahiri chama chake kina hali mbaya sana.
Kwahiyo wewe unawapa tano wanaokula! Wewe na wengine wa aina yako ndivyo mmesababisha itungwe sheria kudhibiti elimu ya uraia ili msije mkaamshwa.
 
Back
Top Bottom