Zitto: Hazina yetu sio salama kabisa

Zitto: Hazina yetu sio salama kabisa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,647
Reaction score
164,801
Spika wa Bunge leo amefanya preemption ya Taarifa ya PAC inayoingizwa Bungeni kesho. Anasema mimi muongo kwa kusema kuwa TZS 1.5T hazikuonekana katika Ukaguzi wa Hazina. Kesho PAC watatoa Taarifa na pia Taarifa ya CAG itawekwa wazi. Wananchi, Hazina yenu sio salama kabisa
 
Spika wa Bunge leo amefanya preemption ya Taarifa ya PAC inayoingizwa Bungeni kesho. Anasema mimi muongo kwa kusema kuwa TZS 1.5T hazikuonekana katika Ukaguzi wa Hazina. Kesho PAC watatoa Taarifa na pia Taarifa ya CAG itawekwa wazi. Wananchi, Hazina yenu sio salama kabisa
Hata maisha yetu sio salama kabisa chini ya utawala huu
 
Huyu Zito kwa sababu hahongwi siku hizi ndo anadhani hazina haina kitu!? Akili za Zito wanazijuaga chadema tu, ataishia kunawa tu awamu hii, hali. Ni dhahiri chama chake kina hali mbaya sana.
 
Mitandao ya kijamii imekuwa jukwaa la udaku.

Yaani tuna safari ndefu ya kutumia mitandao ya kijamii kwa maendeleo km kwa biashara (e-commerce); elimu; afya nk.
Jamaa anaanzishaga thread kama anajadiliana na mtu kitu kwenye kijiwe cha kahawa, haelezei nani kasema nini na wapi?,saa ngapi?,halafu kama anajiuliza na kujijibu mwenyewe.Haya ni matatizo ya kushinda unatafuta nani ka tweet nini ili ulete Jamii Forums kwa speed bila hata kupangilia maneno.
 
Huyu Zito kwa sababu hahongwi siku hizi ndo anadhani hazina haina kitu!? Akili za Zito wanazijuaga chadema tu, ataishia kunawa tu awamu hii, hali. Ni dhahiri chama chake kina hali mbaya sana.

Mnapojadili suala muhimu tumieni lugha zenye staha - wasomaji wa forum hii ni wengi tena wa kila kundi
 
Spika wa Bunge leo amefanya preemption ya Taarifa ya PAC inayoingizwa Bungeni kesho. Anasema mimi muongo kwa kusema kuwa TZS 1.5T hazikuonekana katika Ukaguzi wa Hazina. Kesho PAC watatoa Taarifa na pia Taarifa ya CAG itawekwa wazi. Wananchi, Hazina yenu sio salama kabisa
Ndugai ni mtu wa kwanza kabisa ATAKAYEFUNGWA baada ya ccm kung'olewa madarakani , kesi yake itakamilika ndani ya masaa 24 tu
 
Mitandao ya kijamii imekuwa jukwaa la udaku.

Yaani tuna safari ndefu ya kutumia mitandao ya kijamii kwa maendeleo km kwa biashara (e-commerce); elimu; afya nk.
Umewaza sana. Nadhani una haja ya kuendelea kuweka wazi maudhui ya maandiko yako bila hofu,naona umeamua tu kuishia njiani ili kila mtu ajiongeze !!!! [emoji3][emoji3][emoji3] kuna wengine badala ya kuijongeza hujitoa ,au hujizidisha kabisa .Sio mbaya ukimalizia !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh.Zitto Nakushauri Uwe na subira. Ingependeza zaidi kutoa ufafanuzi baada ya taarifa kuwasilishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu Muswada kandamizi tuliwaambia mapema lakini mkaleta porojo hizihizi , leo kiko wapi ? Ni hivi , hii awamu ya 5 imedhamiria kuwafunga , kuwauwa , kuwafuta na kuwatokomeza wapinzani wote , sasa hivi wameamua kutengeneza mazingira ya kuaminisha wananchi wajinga wa Tanzania kwamba ile 1.5 T haikuibwa , na bado mtaamini , Mburula wakubwa nyie !

Sasa subirini , wakishawamaliza wapinzani watakuja kwenu , hivi ndivyo alivyofanya Idd Amin na ndivyo afanyavyo Kagame , SHETANI HAJAWAHI KUWA NA RAFIKI .
 
Huyu Zito kwa sababu hahongwi siku hizi ndo anadhani hazina haina kitu!? Akili za Zito wanazijuaga chadema tu, ataishia kunawa tu awamu hii, hali. Ni dhahiri chama chake kina hali mbaya sana.

MANENO kuntu walahi
Nasi Wananchi tunamwona mla Arv yuko naked kabisa walahi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona Zitto ana hangaika hivi ujue hakuna pesa iliyo ibiwa wala kupotea......Zitto kapigwa chenga hahahaha
 
Spika wa Bunge leo amefanya preemption ya Taarifa ya PAC inayoingizwa Bungeni kesho. Anasema mimi muongo kwa kusema kuwa TZS 1.5T hazikuonekana katika Ukaguzi wa Hazina. Kesho PAC watatoa Taarifa na pia Taarifa ya CAG itawekwa wazi. Wananchi, Hazina yenu sio salama kabisa
Mimi nadhani CAG angekuwa anamalizana na vyombo vya serikali tu kwa maana ya Takukuru, Polisi na DPP, haya mambo ya sijui PAC ni ulaji na siasa tu hayana tija yoyote.

Hawa akina Sugu, Kibajaji na Msukuma ndio wa kupitia ripoti ya CAG kweli?........ Nchi za wenzetu mbunge ni lazima awe na japo ka degree!
 
Back
Top Bottom