Zitto Bungeni Akilia na Elimu!

Zitto Bungeni Akilia na Elimu!

Hiyo nukuu yake inahusiana nini na hoja aliyotoa kuhusiana na elimu? Hata imfanye naibu spika amsifie? Mwenye akili amemtambua Zitto anataka kumaanisha nini ila kaleta kimipasho pasho vitu ambavyo ndio vinamwangusha kwa watn makini. Hana tofauti na JK, kiongozi makini hama mipasho yeye anakuwa straight bila blabla.
 
Ha ha ha eti kalia na elimu !! So yeye ndo mbunge wa kwanza kuongelea suala la elimu ?? Yeah rite vijana machachari wapmvuba wapo wachache sana !
 
Hamna alichoongea hapo, anapima tu upepo ukoje ila hana lolote zaidi ya kupiga Deal
 
Hazina ya Tanzania, kijana mwenye Busara pekee katika chama cha Wachaga.

Hakuna Mtanzania ambaye sio hazina ndani ya Tz! Kama unaona ZZK ndo hazina pekee, basi pole mkuu.
Unamaanisha Kabwe alikua chama cha wachaga na sio watanzania?! Kipi ni chama cha Watanzania mkuu? Ukijibu utakua umeonyesha uwezo wako!
 
Kwa hiyo hajaongelea lolote kuhusiana na kauli ya AG na Lukuvi? And this is our Zitto, jamani!

Aseme nini mkuu....? Anatuhadaa ana list ya walioficha hela huko ugaibuni, yeye mwenyewe ni miongon mwao! Kumbuka lile sakata la Tanesco wakati wa Mhando.
 
inahitaji kichwa kama cha mwendawazimu kumuamini tena zzk ...

Naingiwa woga huenda hata hilo jina sikuhizi sio lake...wataalam wa cdm fuatilieni akaunt za zzk huko germany munawezakuta hata hili jina sio lake...

May be anaitwa ozil kabwe kahn....weka mbali na watotooooooooooooo...hafai huyuu.
 
siku hizi kila anachofanya zitto lazma watu waandi. Hata akijamba lazma watu wakimbilie jf kuandika kwamba wamemsikia zitto anajamba

ha ha ha ha haaaa... Kwi kwi Kwi kwii.. Hu hu hu.., unanivunja mbavu mwenzio. Umesema ukweli.
 
Kabwe Zitto amemaliza punde kuongea Bungeni akilia na suala la elimu ambapo amependekeza shule za VETA ziunganishwe na kambi za JKT ili vijana wanaomaliza huko watoke na elimu zitakazowasaidia moja kwa moja katika maisha kwa faida yao na nchi na akasisitiza walimu wathaminiwe! Wakati wa kumalizia hoja yake amemnukuu mwanasiasa na mpigania haki wa India hayati Indira Ghandi, ambapo Naibu Spika Ndugai amemsifu jinsi alivyomalizia hoja yake kwa nukuu hiyo! (sijainyaka vyema hiyo nukuu). Nimeshainyaka nukuu yenyewe: "First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win" (Thanks Jabulani!).

Kasifiwa na Ndugai! Huyosi ndo mbugira mbugira namba 1
 
Msema kweli hukimbiwa na marafiki zake sitaikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo unaotarajiwa kutokea baadae uongo hushindwa na kweli hudhihili zito tupo nawewe ktk ktk kipindi hiki kigumu kwako msome shaban robart ktk kusadikika
 
Zitto ni mbunge makini sana na huwa hapaniki wala kuweweseka ,ana mchango mkubwa kwenye jamii.
 
umeona eeeeeeeeeeeeeh!!! kichwa kile noma.

sio akina MIN KABAAAG
Mkuu, AG kasema Zitto si mtu wa kuaminika. Kila akiambiwa alete basi huo ushahidi wake wa mapesa ya Uswizi anaosha. Vilevile kama alivyokuwa akiwakwepa wenzake CDM. Arobaini zake zishafika, hamdanganyi mtu tena. Hao TSS wanaompa data sasa watafute mtu mwingine. The game is up for Zitto.
 
zitto hawezi kuthubutu kuongea kuhusu ag. Zitto wa ajabu kweli.... Yaani hana hata jina la andrew chenge ambaye wote tunajua kaficha fedha nje

mpelekee rafiki yako lema akali ropoke ana yahitaji.

Ikulu yenu ni tengeru.
#chadema sebureni
 
Back
Top Bottom