Join Date : 22nd October 2012
Posts : 8
Rep Power : 302
Likes Received:1
Likes Given:0
Kajipange upya! inaelekea umevimbiwa na pilau la EID mubarak!
Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
Hahaha itakuwa umetumia OMO naona sasa linatoka kwa masikion na puani
Mbunge wa kigoma kaskazini CHADEMA zito kabwe amefunika bagamoyo Mpaka wazee wa pwani wamemuombea dua malumu mtu yeyote atakaye fikiria kumuhujumu kwa makusudi au kwa bahati mbaya mwenyezi mungu amshugurikie mtu huyo.pia ameruhusiwa agombee cheo chochote ktk nchi hii wazee wapo nyuma yake wame mwambia asiwe na hofu yoyote tutakurinda pambana kijana tupo nyuma yako tupo pamoja.haya yametokea baada ya zito kufanya mkutano mkubwa sana Bagamoyo wa kumnadi mgombea wa kata ya magomeni ndugu.SETEBE TIMIZA SETEBE.chadema inanafasi nzuri ya kuinyakua kata ya magomeni. Pamoja na zito kabwe pia alikuwepo katbu wa chadema jimbo la ubungo mhe.ALLY SAIDI MAKWILO. ambeye amepiga kambi ktk kata hiyo kuhakikisha chadema ina shinda udiwani.
BIG UP ZITO, NA MAKAMANDA WENGINE, NA 29/10 PEOPLE'S KATA SI CHINI YA 18 TUTAZIKAMATA.:A S soccer:
Well said mkuu mambo kama haya siyo ya kuyafumbia macho wa2 wanakua na ajenda za sir kuanzisha mada ambazo hazina ukweli hongera kwa kujitokeza kwa hili pamoja sana kamanda we2Hii post imejaa uwongo sana. Ushabiki ni mwingi zaidi ya uhalisia. Ulikuwa mkutano mkubwa na mzuri lakini hapakuwa na dua wala lolote. Kwanini Mtu utunge uongo?
Hii post imejaa uwongo sana. Ushabiki ni mwingi zaidi ya uhalisia. Ulikuwa mkutano mkubwa na mzuri lakini hapakuwa na dua wala lolote. Kwanini Mtu utunge uongo?
Ndugu.wachangiaji nawaomba mjenge hoja sio Kejeri, matusi na kusemana vibaya nahitaji mjenge hoja za kisiasa acheni matusi hizo mnazo fanya ni siasa za maji taka. ZZK ni mwanasiasa anae vuma kama ilivyo kuwa enzi za kudai uhuru kipindi cha ujana wa baba wa taifa mwalimu j.k.nyerere ndivyo anavyo onekana zito kwa wazee wa kitanzania ndio maana wana mtakia kila la kheri ktk harakati zake. pia ieleweke mimi sijasema kuwa zito agombee uraisi sasa hofu zenu niza nini?, kwani nyie mnamtaka nani agombee uraisi?
Kiukweli kabisa Cdm kwasasa imejipanga vilivyo ina makamanda makini wanaojitoa kwa mioyo yao kwa fedha zao kulipigania Taifa hili , kama wakiendelea kushikamana hakika ccm haitapata nafasi tena kwenye taifa hili, hongera kamanda mbowe kwa kuzalisha zao jipya la vijana, Mawazo, Bananga,Lema, Kilewo, Nassari, Sugu haya ni mazao mapya kabisa ya CDM kwenye ulingo huu wa kisiasa kwasasa... Hakika kamanda mbowe ukiendelea kuvipa nafasi vipaji hivi ccm haina nafasi kwani makamanda hawa ni majasiri na wamejitoa.Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe jioni hii anatarajiwa kutikisa mji wa Bagamoyo katika kampeni za kumnadi mgombea udiwani wa CDM katika kata ya Magomeni.Mgombea udiwani huyo wa CDM anaungwa mkono na wananchi na kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika uchaguzi utakaofanyika jumapili wiki hii.Wakati Zitto yuko Bagamoyo viongozi wakuu wa chama hicho wamejichimbia maeneo mbalimbali nchini kuhakikisha CDM inapata ushindi mkubwa katika kata 29 zitakazofanya uchaguzi.Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa wiki nzima yuko mikoa ya kusini huku Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa amejichimbia Kanda ya ziwa kwa wiki mbili sasa.Mjumbe wa Kamati Kuu Godbless Lema akisaidiwa na Kamanda Henry Kilewo yuko Kanda ya Kaskazini huku Mkurugenzi wa Mafunzo na operesheni Benson Kigaila akipambana Kanda ya Kati.Makamanda wengine walioko mstari wa mbele wa mapambano ni Alphonce Mawaazo na Ally Bananga wakipigania Kata za Mkoa wa Morogoro.
Khe, Vunjo?Zzk utamkubali tu,Co we molemo alikishinda ubunge Yule babu alafu unamletea majungu jamaa!# next election uchukue jimbo lile kwa babu