Zitto atikisa Bagamoyo leo

Ina maana hamkupata hata picha moja ya kupambia maelezo yenu, siamini katika hilo.
 
Mkuu chama zitto tumpenda iwapo atajiheshimu mpaka wakati husika ndio aanze kuropoka Yale mambo yake ya urais muda huu ni kujenga chama

Mkuu Precise Pangolin
yote yanafanyika kwa wakati mmoja; unaweza ukajenga chama na kutangaza kugombea uraisi bila wasiwasi wowote

Chama
Gongo la mboto DSM
 
ww gamba acha kuingilia ya cdm...kwani uyaoni ya kwenye chama chenu magonjwa ya rusha yalivyokithirii...kemea kwanza kwa magamba wenzako, ndipo unyoshe kidole cdm...

Mbona umekuwa mkali? Nimeuliza tu kulikoni Molemo ni mtu wa kumpiga madongo Zitto nimeshangaa sana na mapenzi mapya ndio sababu nimeuliza.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe jioni hii anatarajiwa kutikisa mji wa Bagamoyo katika kampeni za kumnadi mgombea udiwani wa CDM katika kata ya Magomeni.

Mgombea udiwani huyo wa CDM anaungwa mkono na wananchi na kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika uchaguzi utakaofanyika jumapili wiki hii.

Wakati Zitto yuko Bagamoyo viongozi wakuu wa chama hicho wamejichimbia maeneo mbalimbali nchini kuhakikisha CDM inapata ushindi mkubwa katika kata 29 zitakazofanya uchaguzi.Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa wiki nzima yuko mikoa ya kusini huku Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa amejichimbia Kanda ya ziwa kwa wiki mbili sasa.

Mjumbe wa Kamati Kuu Godbless Lema akisaidiwa na Kamanda Henry Kilewo yuko Kanda ya Kaskazini huku Mkurugenzi wa Mafunzo na operesheni Benson Kigaila akipambana Kanda ya Kati.

Makamanda wengine walioko mstari wa mbele wa mapambano ni Alphonce Mawaazo na Ally Bananga wakipigania Kata za Mkoa wa Morogoro.
Kwa formation hii ya 4-4-2 ikiongozwa na Kapteni Freeman nahakika katika viti hivyo 29 uwezekano wa CDM 21,CCM 6,CUF 2 ni mkubwa sana. Ni mtazamo tuu.
 
Umempa jibu zuri sana Kamanda.

mkuu Molemo pamoja sanaaaaaa...i do believe in people power, cdm ndyo mkomboz wa wananchi kwa sasa...hawa wengine majambazi wa kalamu na wenye kutanguliza maslai yao binafsi nadhani 2015 kimenuka...
 
Mbona umekuwa mkali? Nimeuliza tu kulikoni Molemo ni mtu wa kumpiga madongo Zitto nimeshangaa sana na mapenzi mapya ndio sababu nimeuliza.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu Chama,nakushauri uangalie namna ya kuondoa Rushwa kwenye chaguzi za chama chako.Hivi huoni aibu hata kidogo ukiangalia uchaguzi wa UVCCM ulivyokuwa? Ni mtu gani ataunga mkono chama chenu?
Agenda yako ya siri kwenye hii mada yangu kamwe haitafanikiwa.CDM ina Mungu iache hutaiweza...!
 
Viva cdm viva makamanda na hizi kesi za madiwani zitaisha lini? Kuna moja jimbo la kawe imehamishiwa mahakama kuu kutoka kisutu sijajua kwa nini na sheria zinasemaje!
 
mkuu Molemo pamoja sanaaaaaa...i do believe in people power, cdm ndyo mkomboz wa wananchi kwa sasa...hawa wengine majambazi wa kalamu na wenye kutanguliza maslai yao binafsi nadhani 2015 kimenuka...

Pamoja sana Kamanda
 
Mbunge wa kigoma kaskazini CHADEMA zito kabwe amefunika bagamoyo Mpaka wazee wa pwani wamemuombea dua malumu mtu yeyote atakaye fikiria kumuhujumu kwa makusudi au kwa bahati mbaya mwenyezi mungu amshugurikie mtu huyo.pia ameruhusiwa agombee cheo chochote ktk nchi hii wazee wapo nyuma yake wame mwambia asiwe na hofu yoyote tutakurinda pambana kijana tupo nyuma yako tupo pamoja.haya yametokea baada ya zito kufanya mkutano mkubwa sana Bagamoyo wa kumnadi mgombea wa kata ya magomeni ndugu.SETEBE TIMIZA SETEBE.chadema inanafasi nzuri ya kuinyakua kata ya magomeni. Pamoja na zito kabwe pia alikuwepo katbu wa chadema jimbo la ubungo mhe.ALLY SAIDI MAKWILO. ambeye amepiga kambi ktk kata hiyo kuhakikisha chadema ina shinda udiwani.
 
Join Date : 22nd October 2012
Posts : 8
Rep Power : 302
Likes Received:1
Likes Given:0

Kajipange upya! inaelekea umevimbiwa na pilau la EID mubarak!
 
Mbunge wa kigoma kaskazini CHADEMA zito kabwe amefunika bagamoyo Mpaka wazee wa pwani wamemuombea dua malumu mtu yeyote atakaye fikiria kumuhujumu kwa makusudi au kwa bahati mbaya mwenyezi mungu amshugurikie mtu huyo.pia ameruhusiwa agombee cheo chochote ktk nchi hii wazee wapo nyuma yake wame mwambia asiwe na hofu yoyote tutakurinda pambana kijana tupo nyuma yako tupo pamoja.haya yametokea baada ya zito kufanya mkutano mkubwa sana Bagamoyo wa kumnadi mgombea wa kata ya magomeni ndugu.SETEBE TIMIZA SETEBE.chadema inanafasi nzuri ya kuinyakua kata ya magomeni. Pamoja na zito kabwe pia alikuwepo katbu wa chadema jimbo la ubungo mhe.ALLY SAIDI MAKWILO. ambeye amepiga kambi ktk kata hiyo kuhakikisha chadema ina shinda udiwani.

hapo kwenye blue! umesema wazee wa pwani wako nyuma ya Zitto!! Eid mubarak wazee wa pwani.
 
Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
 
Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!

pole kwa kuvimbiwa ubwabwa wa idd naona leo mmeshiba na mmevamia janvi kwa spid kali
 
Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!

watu kama nyie mwalimu Nyerere alikuwa anawaita wajinga, sio wapumbau.
 
Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
Hapa sidhani kama akil imefanya kazi hapa.
 
Back
Top Bottom