Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
kama ni kweli CDM wamekubali, NEC wanasubiri nini??
Wamekubali kina nani? umeishia kusoma darasa la ngapi wewe? ukarudie madarasa yako ya kata hayo
kama ni kweli CDM wamekubali, NEC wanasubiri nini??
zittokabwe Correction on my last tweet..We have lost the election. Chadema has NOT conceded. Contemplates petition.#Igunga
mabomu yanapigwa Igunga sasa
Umelala wewe tunangojea Kafumu asaini tuu!!!!!!!!!!Hongera Zitto kwa kuwa mkweli sana ! hiyo ndio demokrasia sio wengine humu ndani washabiki mandazii tu
kama ni kweli CDM wamekubali, NEC wanasubiri nini??
Zitto naona siku hizi kaikimbia JF, mvuto wa JF unazidi kupungua.
Uzushi umeongezeka unashindwa kujua upi ukweli na uongo.
Nimependa hii Mkuu. Sema kweli japo kuwa unauma.Hongera Zitto kwa kuwa mkweli sana ! hiyo ndio demokrasia sio wengine humu ndani washabiki mandazii tu