Genious wa Vingunguti,
Pro-CDM JF mimi wengi washikaji siwezi kuleta dharau zozote.
Najua kabisa CDM wameshindwa Igunga, nikiamua kuleta kejeli humu patachafuka, ndio maana toka juzi nimekuwa msomaji tu badala ya kuchangia.
Najua saizi watu wapo kwenye hali gani sipendi niwadhiaki nawaheshimu sana washikaji zangu, wengi uwa tunapigana madogo lakini sio kwenye ili suala la Igunga.
Umesikia wewe dogo wa Vingunguti[/QUO Nani alikuambia mimi wa vingunguti, jiangalie utaishia ku hisi hivyohivyo kama mjombaako marehemu wa magomeni, wengine hatuko nchini
nina mashaka kuwa kile alichoandika zitto hujakielewa. Si unajua mambo ya lugha za watu tena. Huyu kijana zitto ni mzandiki mkubwa, huyu ndo tatizo hapo chademaacha fitna asubuhi asubuhi hii wewe!!
Ushindi sio watu ni strategy. CHADEMA mko very poor kwenye strategy !
mzitto kabwela ni kigeugeu au anaongea ukweli?WANASIASA VIGEUGEU dunia ni zamblish usimwamini kila mwanadamu mwishowe watakugeukia! Ndio anachofanya zitto kabwe
CHADEMA is a loosing party> If it doesn't change strategy; this is going be to the trend. Shame on them
Saa nane mchana
Ushindi sio watu ni strategy. CHADEMA mko very poor kwenye strategy !
Zitto naona siku hizi kaikimbia JF, mvuto wa JF unazidi kupungua.
Uzushi umeongezeka unashindwa kujua upi ukweli na uongo.
Naamini inawezekana umewasaidia ili wakati ujao wakuprove wrong. Pia wanapaswa kuhakikisha moto waliouwasha wakati wa kampeni wanauendeleza kwa kufungua matawi mengi na kuandikisha wanachama ili wawe na watu huko wakati wote, sio kusubiri wakati wa uchaguzi tu.Ushindi sio watu ni strategy. CHADEMA mko very poor kwenye strategy !
Tatizo lenu nyie hamjui maisha ya kijijini, mkutano wowote ndio Starehe zao, uwe wa kidini au siasa. Kuliko kukaa nyumbani unazuba halafu mnada hakuna si bora uende kwenye mkutano ukasikilize mziki. Na uzuri zaidi kwenye mikutano ya kisiasa siku zote kuna zawadi. Hili wanalijua CCM lakini naona CDM bado.Inauma sana lakin its okey. Tulipata watu wengi kwenye mikutano yetu lakin haijawa riziki. Nina hakika ule umati weng wao hawakuwa wanejiandikisha ila nao inawauma pia next time watajiandikisha kwa hasira mana wametambua lilipo tatizo. Pamoja na hayo ni maendeleo makubwa kutoka kutokuwa na mgombe previous election 10 months ago leo hii tulizaniwa kushinda inatia moyo. Tujipange vizur na wakati wa kujiandikisha tuwahamasishe watu wajitokeze kwa wingi nadhan hiyo ndo solution ya msing. Then chama kiendelee kutoa elimu ya uraia. Na kwa kuwa Tbc imegeuka Tbccm ni vema chama kikaanzisha Tv station mapema. Inatia uchungu sana kukosa kwa jinsi watu walivyotuamin wakaonyesha mwitikio mkubwa. GOD BLESS CHADEMA. Viva forever
waongeze waislam kweye high table yao.Ukweli ni kwamba Chadema watashinda 2015. Kwanza kazi ya kwanza ni kufungua matawi nchi nzima, pili kuwa na TV, radio na gazeti la chama, tatu ni kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa, nne ni kuwahamasisha vijana kujiandikisha uchaguzi ujao. I am sure vijana wengi watajiandikisha na watapiga kura na hawa wazee wengi watakuwa wamepungua sana
Ukweli ni kwamba Chadema watashinda 2015. Kwanza kazi ya kwanza ni kufungua matawi nchi nzima, pili kuwa na TV, radio na gazeti la chama, tatu ni kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa, nne ni kuwahamasisha vijana kujiandikisha uchaguzi ujao. I am sure vijana wengi watajiandikisha na watapiga kura na hawa wazee wengi watakuwa wamepungua sana
Genious wa Vingunguti,
Pro-CDM JF mimi wengi washikaji siwezi kuleta dharau zozote.
Najua kabisa CDM wameshindwa Igunga, nikiamua kuleta kejeli humu patachafuka, ndio maana toka juzi nimekuwa msomaji tu badala ya kuchangia.
Najua saizi watu wapo kwenye hali gani sipendi niwadhiaki nawaheshimu sana washikaji zangu, wengi uwa tunapigana madogo lakini sio kwenye ili suala la Igunga.
Umesikia wewe dogo wa Vingunguti[/QUO Nani alikuambia mimi wa vingunguti, jiangalie utaishia ku hisi hivyohivyo kama mjombaako marehemu wa magomeni, wengine hatuko nchini
Mbona unalilia dogo wa Vingunguti!
Vumilia wewe mbona unaniita majina mengi tu mimi nipo kimya. Ukiamua kumshambuli Ritz akianza kurudisha usilie, hata kama upo wapi wewe ni Genious wa Vingunguti
Hongera Zitto kwa kuwa mkweli sana ! hiyo ndio demokrasia sio wengine humu ndani washabiki mandazii tu