kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
japo zityo kashanitoka rohoni, nadhani wametumia busara. ngongano ni fursa ya kujenga. tujenge CHADEMA yenye kutoa fursa sawa kwa wanachama wake wote. tujenge CHADEMA salama yenye taratibu zinazoeleweka. si umeona jinsi ccm walivyomute kumtimua makamba? simply wamesema uchaguzi ufike....isije kuwa ile ya sitta kunyimwa kugombea wakati ashajaza fomu...CHADEMA OYEEEEEE!!