CRICKET
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 334
- 84
Hivi Sugu na Lema wanasoma vitabu gani?
Kamuulize Nape.
Hivi Sugu na Lema wanasoma vitabu gani?
... Kwani nani ambaye hasomi vitabu? Mwishowe mtatuonyesha hata choo anachokatia gogo
Hahaha. Kwa hiyo kwenye Ofisi ya sugu hakuna kitabu hata kimoja. kuna vipisi vya fegi na ganja tu
Habib Mchange keshashtukia dili zao chafu.Kwa jinsi hiyo mnavyo msifia mme wenu hata akionyesha choo anachotumia kunyea mtatuletea hapa ili tujadili jf
Sasa kusoma kote vitabu kaishia kukabidhi akili yake kwa Mengi na Nimrod, mwili kukabidhi kwa kina Vanessa Mdee na Wema,kama kusoma vitabu ndo akili basi Mh.Chenge aliowaokoa Bungeni kutengeneza Formulation ya Escrow atakuwa kusoma Vitabu tani tatu
watu wanapataga wapi muda wa kusoma hivyo vitabu? mi nikipata muda ni kwenye internet tu
Kuna siku nilimuona Slaa anasoma hadithi za Shigongo
Hakuna kwenye Upinzani zaidi ya Zitto that is the
Fact!
Sasa kusoma kote vitabu kaishia kukabidhi akili yake kwa Mengi na Nimrod, mwili kukabidhi kwa kina Vanessa Mdee na Wema,kama kusoma vitabu ndo akili basi Mh.Chenge aliowaokoa Bungeni kutengeneza Formulation ya Escrow atakuwa kusoma Vitabu tani tatu
ndio maana zitto ana akili sana! nina uhakika zitto ni mbunge mwenye uelewa mkubwa kuliko wabunge wote,
Ndo maana kawapiga wenzake wengi gap ya kutosha katika uelewa wa mambo mbalimbali,he's proved that he has got all the makings of a great leader
kwenye mtandao wake wa facebook kapost vitabu alivyosoma mwaka huu 2014
JANUARY MAKAMBA naye ana library kubwa tuu ya vitabu
https://www.facebook.com/photo.php?...1759799.111977.100000321189166&type=1&theater
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kuhusu hiko kitabu hichi juu anasema hivi:
"Jakaya Kikwete anaingia ameingia katika mwaka wake wa mwisho wa uongozi wake akiwa na mtihani mkubwa unaohusu legacy yake mwenyewe. Ni Kiongozi pekee wa Tanzania aliyeruhusu taasisi za Uwajibikaji kufanya kazi zake na hata yeye kujikuta akichukua hatua kulingana na maamuzi ya taasisi hizo. Kabla yake, hakuna Rais wa Tanzania aliyetoa nafasi kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kufanya kazi zake kwa uwazi na umahiri. Hatua yake ya kujadili kwa uwazi taarifa ya CAG ya mwaka unaoishia Juni 30, 2006 kwa kuwaita Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, kasha Makatibu Wakuu, Ma RAS na Ma DED ilijenga msingi mkubwa wa taarifa zinazofuata za CAG. Mwaka 2012 alifukuza kazi mawaziri 6 na manaibu mawaziri 2 kufuatia Taarifa za Kamati za Bunge za Mahesabu zilizotokana na Taarifa ya CAG. Haikupata kutokea katika historia ya nchi yetu Rais kufanya hivyo. Hata hivyo, Rais Kikwete amepata changamoto kubwa inayotokana na mafanikio yake ya miaka 9 ya uongozi wake. Namna atakavyo shughulikia suala la akaunti ya Tegeta Escrow, ama itafuta legacy yake au itaiimarisha. Akiimarisha atakuwa redefining leader Kiongozi ambaye anatoa changamoto kwenye mazoea na kufanya yale ambayo wenzake walishindwa."
Soma RaiaTanzania kesho Jumatatu katika jarida la Elimu. Hiki ni kitabu changu cha mwisho wa mwaka huu 2014 The Myth of The Strong Leader by Prof. Archie Brown
https://www.facebook.com/photo.php?fbid=859106847443347&set=a.102079856479387.4657.100000321189166&type=1&theater
Hivi Sugu na Lema wanasoma vitabu gani?
Kuna siku nilimuona Slaa anasoma hadithi za Shigongo