Zitto aonyesha vitabu anavyosoma

Zitto aonyesha vitabu anavyosoma

Watanganyika ndo watu wenye roho mbaya zaidi duniani.

watanganyika wanaongoza kwa ushirikina.

watanganyika ndo watu wenye IQ ndogo kabisa duniani.


Hizo ni takwimu za utafiti uliofanywa dunia nzima.


na sample space walitoka humu JF., hasa Jukwaa la siasa na celebrity.

Hakika na kweli
 
Eti vitabu anavyosoma.... So what??????!!!!!!

Kusoma ni kuelimika mkuu...!!! Ukisoma kitabu kimoja utakuwa umeongeza kitu fulani kichwani mwako...!!!! Soma Mtanzania ili uelimike. Nampongeza Zitto kwa kujisomea sana. Big up Zitto...!!!!
 
Ok. Ni msomaji mzuri. Nataka kujua ameandika vitabu vingapu. Kusoma siyo issue. Kwanza kabisa ni uwezo wa kufanyia kazi kile ulichosoma. Je, kuna kitabu kilimfundisha kuwa msaliti? Yaani kwenye chama chako usijadili kwenye vikao halali vya chama kile unachoona hakiendi sawa? Inawwzekana haelewi kile anachokisoma jinsi ya kukitumia. Lakini kama angekuwa ameendika vitabu kutokana na hilo lundo alilosoma, ningemsifia. Otherwise kama ni kusoma tu, wengi wanasoma. Aandike akiwanukkuu hao ili kukipa hadhi anachokifanya. Vinginevyo tuna uhakika gani kama kweli anaelewa anachosoma.

Naamini akikuonyesha kazi/vitabu alizo/vyoandika utakuja na mengine. Kawaida ya wanadamu hawaishiwa na ya kusema. Hasa wenye wivu wa kike.
Nilivoona vitabu nikasifu bonge la mwandishi kumbe bonge la msomaji andika tupime upeo wako. tumia ulichosoma kisha andika
 
Wabongo bado tunashabikia sana siasa kuliko kuangalia maendeleo.
 
good job kwa makamba na zitoo kusoma ni utamaduni ,rais nyerere nae alikuwa msomaji mzuri sana wa vitabu ,hivi JK naye yumo kwenye list ya wasomaji wa vitabu kweli
 
Naamini akikuonyesha kazi/vitabu alizo/vyoandika utakuja na mengine. Kawaida ya wanadamu hawaishiwa na ya kusema. Hasa wenye wivu wa kike.



Kwa akili yako mtu huonewa wivu vitabu alivyosoma? Nikikuonesha nilivyosoma na nilivyoandika si utapagawa wewe. Mi ni mtu wa library toka grade 3 nyumbani hapajawahi kosekana majarida ya ndani na kimataifa toka enzi hizo za drum,africa now. ezi za kina rimmmer ludlum nina hiyo culture ya kusoma mwanangu. Nimesoma mpaka vitabu vilivyokuwa haviruhusiwi vya kina kambona kina field marshall okelo kwahiyo nilisoma na ninaendelea kusoma vya darasani vya hadith vya matukio majarida magazei na mengineyo.niko well informed usinikadirie. Na wasomaji ni wengi tu si mimi tu wala si zitto na makamba tu. Hatuoneshi vitabu ila tunaonesha parmanent change in behavior kutoka kwenye knowledge tuliyopata. Unaweza ukasoma ukabakia kujua tu kwamba flani mwaka flani alisema hivi. Kitabu flani kilisema hivi hilo sio lengo .lengo ni kupata new skills,positive attide and behavior maana vitabu havisemi lolote. Juzi makamba alitoa humu jf wasifu wake akasema vitabu alivyosoma vya uchumi anadhani vimemweka sawa na mtu mwenye digrii ya uchumi.Nikibishia hilo najua utanitukana.naye sikubaliani nae.Mi sio kama ninyi vijana mnaosoma madesa na pamphlets mnaoingia kwenye mitihani na nondo
 
Hicho kitanu cha kwanza kabisa cha ADULTERY kilichoandikwa na Paulo Coelho nadhani Slaa na Mbowe huwa wanakisoma sana na kukizingatia maana lo wamezidi mno!!
 
Kwa akili yako mtu huonewa wivu vitabu alivyosoma? Nikikuonesha nilivyosoma na nilivyoandika si utapagawa wewe. Mi ni mtu wa library toka grade 3 nyumbani hapajawahi kosekana majarida ya ndani na kimataifa toka enzi hizo za drum,africa now. ezi za kina rimmmer ludlum nina hiyo culture ya kusoma mwanangu. Nimesoma mpaka vitabu vilivyokuwa haviruhusiwi vya kina kambona kina field marshall okelo kwahiyo nilisoma na ninaendelea kusoma vya darasani vya hadith vya matukio majarida magazei na mengineyo.niko well informed usinikadirie. Na wasomaji ni wengi tu si mimi tu wala si zitto na makamba tu. Hatuoneshi vitabu ila tunaonesha parmanent change in behavior kutoka kwenye knowledge tuliyopata. Unaweza ukasoma ukabakia kujua tu kwamba flani mwaka flani alisema hivi. Kitabu flani kilisema hivi hilo sio lengo .lengo ni kupata new skills,positive attide and behavior maana vitabu havisemi lolote. Juzi makamba alitoa humu jf wasifu wake akasema vitabu alivyosoma vya uchumi anadhani vimemweka sawa na mtu mwenye digrii ya uchumi.Nikibishia hilo najua utanitukana.naye sikubaliani nae.Mi sio kama ninyi vijana mnaosoma madesa na pamphlets mnaoingia kwenye mitihani na nondo

Mwenye/ungekuwa na mawazo chanya ungeanza kuappreciate kabla ya kublame na kutoa ushauri na ndio maana nikakuambia una wivu.
 
That ZZK is one of the most intelligent politicians of our times is undisputed. However, he needs a little bit of wisdom in his undertakings.
 
Eti vitabu anavyosoma.... So what??????!!!!!!

Ukitaka kujua watanzania tuna unafiki hadi katika kusoma ndio hii habari..
Yeye ndiyo kasoma, yeye ndiye amefaidika, yeye ndiye aliyeamia bila kulazimishwa na mtu, bila kushurutishwa...
Sasa anapiga picha ili iwaje...
Ndii maana napata mashaka na wasomi wa nchi hii.. kuwa wanasoma ili tujue ni wasomi au wanasoma ili tuwaone wanasoma...
#nyashi
Lakin sina budi kukupongeza kwa kuwa na tamaduni ya kujisomea...
Safi sana Mzitto
 
That ZZK is one of the most intelligent politicians of our times is undisputed. However, he needs a little bit of wisdom in his undertakings.

Unaakili sana....
Guddaa
 
Back
Top Bottom