Zitto aonyesha vitabu anavyosoma

Zitto aonyesha vitabu anavyosoma

Hakuna kitu hapo kwami dunia hii niyeye ndio ansoma vitabu mbona hawapati huko na huko kujitangaza. Yeye huyu bwana ni mmafiki mkubwa na bahati yao CDM angeliwasambaratisha vibaya mno.
kukaaa kimya wakat mwingine kunaficha upumbavu wako uliokuwa nao kichwa.ni bira kama ungekuwa huna jambo la kuchangia ungekaa kimya kuficha ujinga wako uliokusanya kichwani
 
naendelea kupita tuu
 
pamoja na kusoma vitabu vyote hivyo,jamaa naye kiingereza chake ni sheeedah. ana-load ile mbaya
 
Mbali ya kutofautiana nae katika baadhi ya mambo ila mate wangu huyu anasoma sana vitabu..na ndio maana katika Bunge zima Zitto Kabwe amaekuwa anatoa michango yenye afya kuliko mbunge yeyote..Wakati akichangia Hotuba ya Bajeti ya Viwanda kwa mwaka huu fedha alishasema kwenye bajeti ile haoni TANZANIA YA VIWANDA.. Na ukweli huo ndio umesimama hadi sasa..matokeo yake ndio haya ya Serikali kuomba sekta binafsi kujenga TANZANIA YA VIWANDA
 
Hata hivi hongera yaake kwa kusoma maana wtz wavivu kusoma vtab
 
Back
Top Bottom