Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 78
namuomba mh. Zitto aje kugombea Kinondoni!
Heshima yako mkuu FMeS!
Mwakalinga atagombea ubunge Kyela na hili nina uhakika wa asilimia zaidi ya 100,na Mwakalinga ni more than smarter hasa kwa umakini wake wa kuchagua timu yake ya kampeni ambayo itakuwa imesheheni wasomi,makada na watu wa kawaida lkn wazawa waliopo ndani na nje ya tz!
Ilikuwa atangaze nia yae ya kugombea si kabla ya tarehe 5 august,lkn bado hatujajua kama utangazaji huu utafanyika Kyela mjini au ktk moja ya viwanja vya shule kule Katumba au mahali pengine popote,na tutawajulisha lini shughul hii itafanyika!na hata kama kahairisha kutangaza kwa sababu ya Upepo wa kisiasa napo tutawafahamisha!
Lkn kumtoa Dr Mwakyembe ndani ya kura za maoni si kazi haba kwani mbunge huyu kwenye baadhi ya kata anachukuliwa kama 'mungu mtu'na yeyete anayepanga hata kumbishia kitu huchukuliwa kama mhaini!,kwa hiyo mpiganaji Mwakalinga anatakiwa afanye kazi ya ziada!
Yetu macho na mimi kama mpiga kura hai wilayani Kyela nitamsubiri yeyote kati yao atakayepitishwa na CCM tupambane nao kwenye sanduku la kura;kati yao hamna mwenye hati miliki ya ubunge wa jimbo la Kyela!
Ondoa ndoto zako za asubuhi hapa.Mimi nikiwa Mbunge nitaanza na wale walionipa ridhaa yao kwanza,wema huanzia nyumbani.
timu Ya mpira ya Taifa lolote huangalia kiwango na mchango wa mchezaji kwenye club yake kwanza.
hatuwatendei wema watu wa jimbo lake.kina Lowassa majimboni kwao ni wafalme kwa kukamilisha mambo muhimu kwa wapiga kura wao.
tuendelee kumdanganya na kilemba cha ukoka cha Utaifa.
bwa ha ha ha typical majibu kama ya Kayanza P.....jamani mtu utakuwa kiroho alafu uhutubie wananchi kwenye hotel ya kisasa?Kwa kawaida si hulka yangu kushiriki kwenye mijadala ya kashfa kama washika dau wengine walivyofanya kwenye post inayohusu mdau Mwakalinga,lkn huwa nafanya uhakiki kabla sijaleta kitu hapa na nilichosema kuhusu harakati za mwenzetu na kugombea ubunge Kyela ni kweli tupu!
Labda ambacho sikueleweka ni kutumia tamathali za semi niliposema "Mwakalinga aingia Kyela" ukweli ilikuwa hajafika Kyela phyisical lkn "kiroho" tayari huyu jamaa alikuwa Kyela muda mrefu!
Jasusi,kuanzia tarehe 1 hadi 5 mwezi August mwaka 2009,uwepo hapa ambako nitakuletea habari moja kwa moja toka ama kiwanja cha Mwakangale-Kyela mjini,au kutoka kule kijijini Katumba ambako labda rasmi mbio za kuwania ubunge Kyela zitakapotangazwa kuwa ndiyo zinaanza!
bwa ha ha ha typical majibu kama ya Kayanza P.....jamani mtu utakuwa kiroho alafu uhutubie wananchi kwenye hotel ya kisasa?