Mhe. Zitto Zuberi Kabwe,
Pole kwa majukumu ya kila siku ya kuwakomboa watanzania. Binafsi nakufagilia sana kutokana na uelewa wako na ushaarabu Mungu aliokujaalia. Najua wapo wanaokubeza kutokana namisimamo yako lakini wewe umekuwa kiongozi wangu bora maana siku zote umekuwa ukijenga hoja na huwa hukurupuki. Naomba ufafanuzi wa kutounga mkono kitendo kilichofanywa na wabunge wa chama chako maana wewe binafsi hukiafiki. Kisheria Bunge la Tanzania linakamika panapokuwa na Rais "Bunge pamoja na Rais" yaani Rais ni sehemu ya buge kama alivyosema mama makinda jana pale bungeni. Nadhani kwa nyie kuendelea kuingia bungeni inamaana mnamkubali Rais ila kuna shinikizo linafanya muonyeshe kuwa mnamkataa au pengine ni kuganga njaa. Maana mkiquit hamtapata posho na mishahara.
Kwakua nakuamini nategemea utanijibu ipasavyo kwa hekima na ufasaha zaidi ama mnaingia bungeni kuganga njaa au laa...................
Kabwe Zitto is just another got like Seif Sharif Hamad. He is not a hero like many tend to believe. He has his own benefits he is fighting for. Let his stand point be clear. kama hawaungi mkono wenzake basi angebakia bungeni lakini kwa ku chicken out he meant the same. He is just among many fools in CUF and CHADEMA.
Ni kama kumwambia mtoto niletee maji: Mtoto A akauchuna bila kusema kitu na maji hakuleta lkn mtoto B akasema sikuletei. Nani ni bora katika hao. da fool will say mtoto A ni bora kwa wenye busara kama mimi wote ni sawa. Im sick of him. He s**** like Seif Sharif Hamad
Mbona mnahangaika sana kama kuku mtetea haiwasaidii kitu anzeni kujadili mengine.Mhe. Zito, heshma yako mzee. Watakuzushia meengi lakini sisi tunakujua uko makini.
Yakikuzidi huku hamia CCM, tutakufuata huko.