Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
wewe acha ushabiki usio wa maana,Slaa ana lolote kwa Zitto.,Slaa amemzidi Zitto umri tu.Zitto anakubalika hadi vijijini na kwa watu wote.
ujue Zitto ni opportunist mzuri tu , na anajua jinsi ya kuitumia publicity anayopewa. kuna watu wengi tu huko CDM wanafanya makubwa na wametulia. zaidi ya hapo hii mada kwa upeo wangu imekaa kichonganishi zaidi.