Zitto amtembelea Lema gerezani baada ya kunyimwa dhamana

Amemuomba "MUNGU" kwa kumpa "MKE" jasiri ambae ndio "NGOME" yake kwa sasa....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hapo nilitarajia angesema:-
Amemuomba "MUNGU" kwa kumpa "CHAMA" jasiri ambacho ndio "NGOME" yake kwa sasa
Kwenye maisha family ndo ya muhimu kwanza
 
Viongozi aina ya Zitto bado tunawaitaji asante kwa kumtembelea lema roho inauma kuona sheria za nchi hazifuatwi
 
Haki imetendeka kwa Lema kurudishwa mahabusu na kunyimwa dhamani.
Lema anatakiwa apigwe kifungo hata cha miezi 6.
 
Huwa najifunza mengi sana kwa zitto kabwe ni mtu mstaarabu na pia mvumilivu na ni mwanasiasa wa kweli aisekuwa na lepe la unafki
Ni wachache sana wanaweza kuwa na moyo kama wake.
 
Acha unafiki. Toka mwanzo wa hili sakata la Lema msimamo wako umekuwa hasi sana juu yake.
Sasa hivi umeona kiongozi wa chama chako ameenda kumjulia hali nawe unajifanya muungwana.
Mbona unafiki wako kwa Lowassa tumeunyamazia??....BTW Lema anatakiwa kubadili mbinu....otherwise ataozea huko lupango
 
Nilipomsikia mtu mmoja anasema eti kuna mhimili mmoja umechimbiwa chini zaidi nilishangaa sana!

Nadhani maana yake ndio hii sasa!
Ulishanga nini kwani hujui kusoma, kasome vizuri katiba badala kusomewa na DJ wenu.
 
Ulishanga nini kwani hujui kusoma, kasome vizuri katiba badala kusomewa na DJ wenu.
Unazungumzia katiba ipi hiyo unayotaka nikaisome leo?
Akili zile zile za "kuna mhimili mmoja umeenda chini zaidi" alafu unanitaka nikasome katiba..
 
Zitto tulikuheshimu sana lakini kwa hili la Lema,kaa mbali nasi.
 
Hujiulizi ni kwa nini Mandela alipotoka Gerezani alipokelewa na Winnie Mandela na siyo kina Oliver Thambo. Vitu rahisi namna hii kueleweka vinapokuwa vigumu kwenu ndiyo inayotufanya tujue ni kwa nini mnawashabikia wale jamaa!!
lumumba wabovu wa kufikiri kweli,, sasa ategemee chama kwani lema alioa chama? Familia kwanza
 
Huwa inatokeaje wajinga wakawa watawala wa dunia huku werevu wakiwaangalia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…