Kwenye maisha family ndo ya muhimu kwanzaAmemuomba "MUNGU" kwa kumpa "MKE" jasiri ambae ndio "NGOME" yake kwa sasa....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hapo nilitarajia angesema:-
Amemuomba "MUNGU" kwa kumpa "CHAMA" jasiri ambacho ndio "NGOME" yake kwa sasa
wakate rufaa kule ndoto ilipotoka.CDM wakate rufaa mahakama ya rufaa.
Haki imetendeka kwa Lema kurudishwa mahabusu na kunyimwa dhamani.Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kwa mara nyingine leo (jana) amenyimwa dhamana na imeamriwa na mahakama kuwa akae mahabusu mpaka Februari mwakani kesi yake itakapotajwa tena.
Mahakama imetoa uamuzi huo baada ya kuridhishwa na vigezo vya kisheria ambavyo vilitolewa na mawakili wa Jamhuri ambao waliweka pingamizi Lema asipewe dhamana.
Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), alimtembelea Lema gerezani leo na haya ndiyo ameyaandika kuhusu Lema, kesi yake na hali ya kunyimwa dhamana.
ZITTO KABWE:
Leo (jana) Ijumaa Desemba 2/2016 nimepata fursa ya kumsalimu ndg. G Lema, mbunge wa Arusha Mjini Katika Gereza la Kuvu la Arusha. Nimemtembelea Kama mbunge mwenzangu na kumhakikishia solidarity katika harakati za kutafuta na kulinda haki.
Lema ana ari kubwa ya mapambano. Anasikitishwa sana na ukiukwaji mkubwa wa haki na mahakama kuonekana kuendeshwa na Serikali. Yeye ameona ni bora akae ndani mpaka hapo dola itakapopenda kumpa dhamana. Kosa lake lina dhamana na hakimu alimpa dhamana.
Ameomba tutazame mahabusu wengi wanaokaa ndani miaka mingi bila kesi zao kuendelea. Tuwatetee.
Amemshukuru Mungu Kwa kumpa mke jasiri anayempa moyo na ndio ngome yake kwa sasa.
Nimemwomba Lema aone kuwa hii struggle sio yake peke yake bali anawakilisha watu wengi wanaotaka haki kutendeka katika uendeshaji wa nchi yetu. Siku zote haki hushinda.
CHANZO: Maandishi Genius
Ha ha ha! Siku hizi DJ anaitwa pogba?Nackia pogba nae ataenda kumtembelea cku ya jtatu!
Unazungumzia Zitto msaliti au Zitto yupi?Viongozi aina ya Zitto bado tunawaitaji asante kwa kumtembelea lema roho inauma kuona sheria za nchi hazifuatwi
Kwani alilazimishwa kutenda aliyoyatenda?Aisee sio vzr kumombea mabaya jamaa jela pana tabu
Ni wachache sana wanaweza kuwa na moyo kama wake.Huwa najifunza mengi sana kwa zitto kabwe ni mtu mstaarabu na pia mvumilivu na ni mwanasiasa wa kweli aisekuwa na lepe la unafki
Mbona unafiki wako kwa Lowassa tumeunyamazia??....BTW Lema anatakiwa kubadili mbinu....otherwise ataozea huko lupangoAcha unafiki. Toka mwanzo wa hili sakata la Lema msimamo wako umekuwa hasi sana juu yake.
Sasa hivi umeona kiongozi wa chama chako ameenda kumjulia hali nawe unajifanya muungwana.
Ulishanga nini kwani hujui kusoma, kasome vizuri katiba badala kusomewa na DJ wenu.Nilipomsikia mtu mmoja anasema eti kuna mhimili mmoja umechimbiwa chini zaidi nilishangaa sana!
Nadhani maana yake ndio hii sasa!
Toa ushahidiKwani wewe nani??
Unazungumzia katiba ipi hiyo unayotaka nikaisome leo?Ulishanga nini kwani hujui kusoma, kasome vizuri katiba badala kusomewa na DJ wenu.
Wasiokuwa akiri kichwani wataamini Lema hajafanya upumbafuLinalofanyika kwa Lema kwa mtu yeyote anayejipa japo dakika kufikiri hawezi kuona ni sawa
Mkuu nimeliona hili mapema sana.Mke wa LEMA ataanza kutembelewa na Mbowe
lumumba wabovu wa kufikiri kweli,, sasa ategemee chama kwani lema alioa chama? Familia kwanzaHujiulizi ni kwa nini Mandela alipotoka Gerezani alipokelewa na Winnie Mandela na siyo kina Oliver Thambo. Vitu rahisi namna hii kueleweka vinapokuwa vigumu kwenu ndiyo inayotufanya tujue ni kwa nini mnawashabikia wale jamaa!!
Tamika sasaHii kesi kutakuwa na tatizo, sijawahi kusikia kesi inaahirishwa kwa muda wa miezi 2. Ngumu kumeza