Aibu kwa waliohusika.Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto kabwe, ameshutumu watuhumiwa wa Akaunti ya Tegeta Escrow kupewa kazi(zabuni) ya ujenzi wa bandari ya Mwambani mkoani Tanga bila kufuata taratibu.
Zitto amesema Rugemarila amepewa zabuni hiyo yenye thamani ya shilingi trilioni 54 bila kufuata taratibu za zabuni ikiwa ni pamoja na zabuni hiyo kutangazwa.
Kwa taarifa zaidi tembelea: Mtanzania-Gazeti la Kiswahili la kila siku
My take:
Hivi hii nchi ina laana?
Kama tuhuma hizi ni za kweli,viongozi wa nchi hii mko wapi na mnafanya nini maofisini?!
Usafi wake nini? Ufisadi upo kila sehemu hata CHADEMA wamejaa mafisadi.
Alishindwa nini kulipua akaunti ya Stanbic!?? mnafiki tu huyu!!
acha kukurupuka unaelewa maana ya kupewa zabuni kinyemela, au umeamka na mbege kichwani?Kwani zzk hakuwa mbunge wakati zabuni hiyo unapita? Kwa hiyo nae alikaa kimya tuuu? Aache ubwege wake. Alisubiri hadi aingie act ndo aseme?
Mtu anaeibua madhambi kama haya bado tu mnasema ni mfuasi wa CCM? Ni mwendawazimu pekee ndiye atawaza hivyo.
Safi sana Zitto. Huu ndio uzalendo.
mkuu achana na bavicha maana ukiwasikiza hata vijiweni wanaongea kama sugu vile au Lema aka master plan of bavicha.Mtu anaeibua madhambi kama haya bado tu mnasema ni mfuasi wa CCM? Ni mwendawazimu pekee ndiye atawaza hivyo.
Safi sana Zitto. Huu ndio uzalendo.
Hata mimi nashangaa,t54?hiyo bandari ipoje?damnMkuu hiyo figure ni kweli au? maana hizo pesa ni sawa na budget ya tanzania kwa miaka mitatu.
safi sana bavicha member naona umechangia point kwi-kwi-kwi, vijana wa kitz bhana kazi ipo. pole zito ila endelea kupambana usikatishwe tamaa na sampuli kama hii ya binadamuHizo ni futuhi za zitto na wakina Rugemaira,
ukimanisha Rugemalira anapenda mambo anayoibua zitto juu yake? wasalimie ufipa.Mkuu Hizo trilion 54 mbona kama ni uongo?
Au ni katika harakati za kumfanya CEO wa ACT awe Juu?