Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow

Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow

Kuna haja BUNGE lichunguze hii tenda ya MWAMBANI na jinsi Ruge alivyopewa.
Kama taratibu za utoaji wa tenda zilikiukwa inatakiwa ifutwe.

Halafu huyu jamaa inaonekana ana influence kubwa sana ya kupata deals.
Pia kumbuka kuwa baadhi ya aliowawekea pesa za Escrow wamefunguliwa mashtaka Mahakamani ila yeye aliyetoa hajashtakiwa.
 
Kampuni inayojenga hiyo bandari ni Mwambani Port and Railway Corridor Company (Mwaporc) Mkurugenzi wake ni Mr Cuthbert Tenga, na project sio ya serikali, Mwaporc wanachofanya ni kutafuta wabia wa kushirikiana nao. Serikali sio iliyowaambia Mwaporc washirikane na VIP. Huu ni mradi binafsi. Hata wewe ukiwa na Mradi wa kujenga bara bara ya juu kutoka Tegeta mpaka mjini kupunguza foleni utapewa, tuache siasa kwenye mambo ya maendeleo.

Aksante kwa kunielimisha.

Kwa maana hiyo hapa Zitto kakurupuka si ndio?
 
Mbona ZZK haizungumziii Tanzanite one iliyouzwa bila kufuata utaratibu kwa mtoto wa Mkuu wa nchi? Kama kaamua kusafisha ang'oe vichaka vyote asichague.
 
Back
Top Bottom