Chadema imejifunga goli dakika za majeruhi, CCM itapeta tu uchaguzi October
WOTE MNAOMKOSOA ZITTO HAPA UMRI WENU NAONA NI MDOGO NA MNAONGEA BILA YA KUFANYA RESEARCH, NA MLIIDANDIA HII MELI MWAKA 2010, WAKATI PALE MWANGA WA NURU ULIPOTUFIKIA CHADEMA, MNASAHAU NI ZITTO, NA WENZAKE WAKONGWE NDANI YA CHAMA NDIO WALOKISAIDIA CHAMA KUONEKANA NI CHAMA CHENYE WATU MAKINI, NA WENYE MAWAZO YA KIMAGEUZI, LEO HII MBOWE KATEKWA AKILI NA WAKUJA AMBAO HATA HAWANA MIAKA 10 NDANI YA CHADEMA.
Zito si mvumilivu na ni mbinafsi. Kama wanamchukia asingepewa nafasi ya uongozi ndani ya CDM. Useme wamemvumilia wameshindwa na yeye alifikiri cdm haiwezi kuwepo bila yeye. Itampa nafasi kujitafakari upya ili abadilike.
Ikafie mbele huko,chadema ina vijana wengi wasomi kwa sasa kila kona ya nchi
Tangu mwanzo wa mgogoro tulishauri kuwa kwa kiongozi kijana kama ZZK ilikuwa ni muhimu kuwa na washauri wenye mtazamo chanya badala ya wasaka tonge. Ninaamini bado ana nafasi ya kufanya mabadiliko na akabakia kuwa a young political icon kwa siasa zetu.
Umakini wowote wa taasisi ni kusimamia miongozo yake hasa KATIBA. CDM haijamfukuza Zitto bali amejifukuza yeye kikatiba. Anaijua vizuri Katiba YA Chama na ameshiriki kwenye marekebisho yake. Ajipange kuomba upya uanachama au aanzishe chama chake .
Kwa stahili hili hii ya ubabe,Chadema bado sana kuchukua nchi.Bado chama hakijakomaa kidemokrasia.
Umakini wowote wa taasisi ni kusimamia miongozo yake hasa KATIBA. CDM haijamfukuza Zitto bali amejifukuza yeye kikatiba. Anaijua vizuri Katiba YA Chama na ameshiriki kwenye marekebisho yake. Ajipange kuomba upya uanachama au aanzishe chama chake .
Chadema imejifunga goli dakika za majeruhi, CCM itapeta tu uchaguzi October