Muulize bosi wako Mwigulu,ule ushahidi aliotamba nao bungeni kuwa anao na atautoahapa duniani na hata mbinguni,umeyeyukia wapi?!magaidi wanajua kweli kumtaja mungu.
maskini kijana wa watu umemharibu kwa tindikali.
ukichunguza ile website ya wordpress ambako kilewo alichukua ile taarifa, profile ya mmiliki wake haipatikani. Vilevile huwezi kutrace IP ikiwa alitumia public wifi.
WAKATI Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikimwandikia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe barua ya kumtaka ajieleze dhidi ya tuhuma zinazomkabili, yeye ameamua kukimbilia polisi akimshitaki mmoja wa viongozi wenzake.
Habari za kuaminika zimedai kuwa Zitto ambaye hivi karibuni alivuliwa cheo chake cha unaibu katibu mkuu wa CHADEMA, inadaiwa amefungua mashitaka polisi akimtuhumu Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kileo kwa madai ya kusambaza waraka katika mitandao ya kijamii.
Akithibitisha tukio hilo, wakili wa Kileo, Peter Kibatara, alisema kuwa mteja wake amemriwa kufika makao makuu ya Jeshi la Polisi leo Jumatano saa nane mchana na kuonana na mmoja wa maofisa wa juu wa jeshi hilo, aliyetajwa kwa jina moja tu la Mbutta, kufuatia mashitaka yaliyofunguliwa na Zitto dhidi yake.
Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu, Kileo alikiri kuitwa polisi, ingawa alidai hajui ni waraka gani anaotuhumiwa kuusambaza unaomchafua Zitto.
Kwa kweli sijui hata mimi ni waraka gani, ingawa hivi karibuni kulikuwa na waraka wa siri uliodaiwa kutoka CHADEMA, na ambao ulijaa tuhuma za usaliti. Lakini huo tuliishaukana siku nyingi. Labda kuna mwingine, alisema Kileo.
Zitto kutwa nzima ya jana hakuweza kupatikana kwa njia ya simu kufafanua mashitaka aliyofungua polisi. Simu zake zote za kiganjani zilikuwa zimezimwa.
-Tanzania daima.
Yericko ameukana ule waraka, kilewo akakae selo moja na babu seya ili atatuliwe marinda halafu yule mke wake akaandamane posta kupinga unyanyasaji wa kijinsia atakaofanyiwa mume wake.
Kikwapa! kutokana na magwanda kujaa jasho.
Defamatipn na polisi wapi na wapi,unless kama ni abusive languange.Sidhani kama yuko sahii kupeleka hiyo kesi polisi kwani hakuna element ya criminaltiy,ni bora angeenda mahakamani moja kwa moja afungue madai,sasa sijui ilo polisi awalijui hadi kumsumbua Kileo na kumuita aende polisi,bora wamshauri Zitto aende afungue civil na wamuambie point blank kuwa huo waraka polisi sio sehemu yake.Mimi hapa ndio napozidi kumuona Zitto ndumi la kuwili,kwa sababu kwenye press conference hakukanusha wala kufafanua waraka huu wa yeye kuhongwa pesa na pia kushirikiana na TISS na hata hajazungumzia uhusiano wake na Jack Zoka na Ighondu na mnyumbuliko wa pesa hizo kutoka NMB kwenda Ujerumani kwa Andrea na pia kuwatumia wakina Kitila,Mwampamba,Mchange,Ben Saanane,Juliana Shonza etc.
Baadala yake kakimbilia Polisi na kufungua defamation case ili suala hili liishe kimya kimya na kuepusha kwa Zitto kufafanua bali Kileo na obviously Polisi inajulikana kwenye siasa inavyotumika!!
Ben Saanane upo kwenye waraka ule kuwa ulitumiwa pesa na Zitto,please tueleze ulipewa kwa minajili gani??!!
Magamba yanamtetea ZZK baada ya mpango wao kubuma.
Labda nikuulize, Kilewo anashtakiwa kama Kilewo ama kama Kiongozi wa chadema?
Machame.Mkuu hivi hilo jina la Kileo nalo ni la kanda Kasikazini?
Ha ha hvyo vitu mbon kila mtu anafahamu kwamba ni sehemu ya kudadavua kwenye uchunguzi zitto mwenyewe si amepatikana na kila kitu anachowasiliana na TISS,Nchimbi na Mwigulu mchezo mzuri sana huu nchi ya wajingaAtapanikana tu hana ujanja, tayari zimeshaonekana.
- email tracing
- IP address
- IP location
- Protocal route messages
- event viewer
- log analysis
- all information technology devices
Kwa nini zitto amekuwa mjinga kiasi hichi ushahidi usiofichika mchezo mchafu CCM imemfanyia kwa ushauri wangu akae chini na kamanda kileo ni mtu makini amwelekeze na amfunde chezea kamanda kwa ufahamu wangu chadema inamuheshimu kamanda kileo kuliko zito ,zitto bado una nafasi ya kutubu zambi zako kwa kamanda kileo naye akakuombea msamaha kwa baba yenu ,mwisho wa sinema ya Kigoma nilipozaliwa inaisha ,kweli zitto hana huruma pesa zote alizohongwa angeweza kujengwa chuo kigoma au shule zipatazo 12 kila kijiji na zahanati kwa kina mama wajawazito ,kweli hawatendei haki kigoma
Kama Henry Kilewo aliu-upload JF au mtandao mwingine huo waraka wa TISS toka website nyingine sijui wordpress basi CHADEMA wamwadabishe kwa kutokuwa makini kama kiongozi.
Katiba inasema wazi ya CHADEMA kiongozi awezi kuwa kama mtu wa kawaida. Maadili yake lazima yawe kioo kwa wengine. Sasa Kiongozi anaona waraka sehemu nyingine anashiriki kuusambaza? Wakati alitakiwa kutoa taharifa kwa muhusika na chama.
Nimesoma post eti aliutoa wordpress. Kama sio source na kukutikana na hatia kipolisi basi chama kichukue hatua.