Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.

Sikujua kuwa huko namna hii Ara Sanga wa Bongo, Yericko hajapokonywa verification ID yake....Ebu nikuelekeze ilipo.

Nenda kwenye post yoyote aliyoweka hapa jamvini, mfano post namba 72 ya uzi huu. Upande wa kushoto mwa post hiyo kuna picha ya Yericko, upande wa kulia wa picha ya Yericko kuna nembo ina rangi ya njano katikati imeandikwa "JF Gold member". Chini ya Nembo hiyo kuna ka-mkia kana rangi ya bluu. Ka-mkia hako kana alama ya vema (V)...Alama hiyo ya Vema ndiyo inayomtambulisha Yericko Nyerere bado ana 'verified ID' ndani ya JF.

THE BIG SHOW =Arap Sang wa Bongo....leo ndiyo nimeongeza ushahidi mwingine kwa nini umeacha kushughulikia suala la Gesi isitoke huko Mtwara na kuwaacha watanzania wanaoishi huko (Mtwara) wakieendelea kulalamika.
 

ha ha ha ha ha ha ha!!!!
nchemba akili kubwa..............
kweli we ndo hamnazo zaidi ya hilo gaidi.
 

It seems hata marehemu aliyekuwa mjumbe wa tume ya katiba (R.I.P) those people knows what exactly happen to him.
 
Kawaida yenu kutetea wahalifu safi sana zzk peleka na wengine wanaofanya uhalifu
 
Kwenye ule waraka wa kitila kuna sehemu inasema"mtu tunaemtaka ana hasira za haraka,mwepesi wa kupanic,pia hajaoa"mwisho wa kunukuu

Ukichunguza Body language ya Zuberi wakati anazungumza na wanahabari siku ya Jumapili utayagundua haya.
 

Huyo ndo The Big Show
 
THE BIG SHOW umesoma haya maelezo ya MpigaKelele? Tazama hapo nilipoweka rangi nyekundu
 
Last edited by a moderator:
Ukimuona Yericko mwenyewe live anakupiga 'mizinga' hutoamini macho yako! Hajai hata kwenye kucha!

Mkuu Truth Matters, ni kweli Yeriko hajai weye ukucha lakini Zito tangia aanze usaiti wake, akimuona Yerio anashikwa na tumbo la kuhara.
 
Zitto vuta pumzi ndefu,
1.mjanja janja wa Daruso ajiandae kuutetea ubunge wako mahakamani
2.kuwa bubu bungeni 3.kuzungushwa Tz nzima na Mwigulu ukiinanga CDM
4.kuishi mji uupendao Hamburg 2014 yote
5.kumtamfutia M2 na M3 ajira kwenye mashirika ya umma(Rejea ushauri wa Prof. Muhongo)
 

a.k.a gubu.....
mwanaume ka binti!!
astakafululah!!
 
kila kitu unataka kujulishwa tu , vingine jitahidi kuvijua mwenyewe bhana !
 

Umeona sasa? Hata mjadala haujaisha na wewe umesha anza kejeli kwa waislamu/uislamu then unataka eti mimi na wewe tukae jukwaa moja kunadi sera za chadema? Huu ndio ujinga wakristo muufanyao na kuzidi kukifanya Chadema ni adui wa waislamu na uislamu. Pambaneni na CCM na sio Waislamu na uislamu.
 


Jamani huyo ni The Big Show!
Teh Teh teh
 
usininifuate pm we kiumbe! KAMA UNA LOLOTE LA KUONGEA ONGEA HAPA! MWENYE KUJUA JINSI YA KU-BLOCK WATU PM ANIELEKEZA ASAP! jiheshimu!

kama ni majibizano, tujibizane hapa, achana na pm!
Wewe mwanamke unapenda sana kushobokea wanaume hata mie unapenda kunishobokea huwa nakuangalia tu.
 
zitto ni mchumia tumbo, afukuzwe mara moja.
 


Chamvigaaaaa! Leo mi nasoma hoja zenu tu nifurahi!
 
Kilewo na yericko lazima muwe tayari kubeba gharama za kumchafua zitto.

Kwa hiyo munatekeleza ahadi yenu ya weka hao vijana lock up wewe na nchimbi na mwigulu January 2016 mutaozea jela kwa makosa yakuua watu na kutesa watu
 
wewe mwanamke unapenda sana kushobokea wanaume hata mie unapenda kunishobokea huwa nakuangalia tu.
usijibiwe we nani?? Ushobokewe kwa lipi?? Bora kuwa masalia kuliko kushobokea wafu! Jiheshimu we binadamu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…