Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,644
- 2,273
Miongoni mwa maandiko magumu sana niliyowahi kusoma ni yale yanayosema
"Wapendeni Adui Zenu, Waombeeni Wanaowaudhi"
Jifunze kupenda hata unaowachukia akiwemo spika
kwenye haya mandiko unayo yaona magumu, upo nje ya context! Kwenye hoja makinda siyo adui, pia kumpinga siyo uadui! Tatizo lenu wana MAGAMBA, mkiambiwa ukweli mnajenga uadui na mnachukia wanaosema huo ukweli!
Pili, kama wewe si muumini, na mfuasi wa Biblia don't just cote it to support you pointless point!