mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Kama huna ushahidi na hili kaa kimya, Zitto anafanya kazi yake, penye ukweli ni vizuri ukasema, kama hutaweza kuthibitisha tuhuma zako kwa Zitto wewe ni mwenye wivu tu na kijicho, kweli Zitto anamapungufu yake lakini hili lako litahitaji uthibitisho na kwa sasa Mh zitto mimi nampongeza.