Zitto aitisha Press Conference (Machi 22, 2015) Serena Hotel

Zitto aitisha Press Conference kesho (Machi 22, 2015) Serena Hotel
Eti nini? Zitto kaitisha Press Conference? Duh, yaani siyo ACT iliyoitisha Press Conference bali Zitto! How and why? Maybe I am missing something here...je kaitisha hiyo Press Conference kama nani? Jamani tukubali tusikubali, Chadema ina vichwa na intelligence yao lazima ni kiboko! Hebu fikiria kama hii Press Conference ingeitishwa kabla ya kutimuliwa...si ingekuwa balaa kwa Chadema! Hii ingekuwa sawa na katoto kupakatwa na baba halafu kanamnyea baba bila baba kugutuka kwamba katoto kake kanasokotwa tumbo. Bila shaka ni juu ya baba kugutuka mapema na kukawahi katoto msalani kasichafue hali ya hewa.

Lakini hata tukiacha hili; Chadema imemtema Zitto na haraka haraka ACT ikampokea, je hapa tunapata somo gani na tutegemee nini hiyo kesho? Kama lengo la kuwaita waandishi wa habari ni kuikandia Chadema, namshauri Zitto achukue tahadhari kubwa, kauli zake zinaweza zikawa na madhara kwake kuliko Chadema. Kudai demokrasia nchini imekuwa na gharama kubwa na wapo watu wameathirika kimwili na kiafya katika harakati zao za kupambana na chama tawala, CCM na wanazo alama za michubuko na makovu. Kwa hali tofauti kabisa yeye alibahatika kulikwepa tanuru walopitia wenzake bila kuathirika.

Zitto, amefanya maamuzi na bila shaka ni baada ya kutafakari kwa kina na kuridhika kuwa hakuna njia nyingine ya kuutumikia Umma zaidi ya hiyo aliyoichukua. Namtakia kila la heri katika safari yake mpya na kama walivyosema wahenga, mwisho wa safari moja ndio mwanzo wa safari nyingine. Katika vita ya kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa hawa manyang'au yaliyokamata dola hakuna haja ya kugombea fito, mchango wowote ule utakaofanikisha harakati hizo is welcome. Ukawa imeonesha njia kwa kujenga msingi, ACT kama ina uchungu kweli na taifa linakoelekea nasema please join the band wagon.
th

 
Last edited by a moderator:
Eti nini? Zitto kaitisha Press Conference? Duh, yaani siyo ACT iliyoitisha Press Conference bali Zitto! How and why? Maybe I am missing something here...je kaitisha hiyo Press Conference kama nani? Jamani tukubali tusikubali, Chadema ina vichwa na intelligence yao lazima ni kiboko! Hebu fikiria kama hii Press Conference ingeitishwa kabla ya kutimuliwa...si ingekuwa balaa kwa Chadema! Hii ingekuwa sawa na katoto kupakatwa na baba halafu kanamnyea baba bila baba kugutuka kwamba katoto kake kanasokotwa tumbo. Bila shaka ni juu ya baba kugutuka mapema na kukawahi katoto msalani kasichafue hali ya hewa.

Lakini hata tukiacha hili; Chadema imemtema Zitto na haraka haraka ACT ikampokea, je hapa tunapata somo gani na tutegemee nini hiyo kesho? Kama lengo la kuwaita waandishi wa habari ni kuikandia Chadema, namshauri Zitto achukue tahadhari kubwa, kauli zake zinaweza zikawa na madhara kwake kuliko Chadema. Kudai demokrasia nchini imekuwa na gharama kubwa na wapo watu wameathirika kimwili na kiafya katika harakati zao za kupambana na chama tawala, CCM na wanazo alama za michubuko na makovu. Kwa hali tofauti kabisa yeye alibahatika kulikwepa tanuru walopitia wenzake bila kuathirika.

Zitto, amefanya maamuzi na bila shaka ni baada ya kutafakari kwa kina na kuridhika kuwa hakuna njia nyingine ya kuutumikia Umma zaidi ya hiyo aliyoichukua. Namtakia kila la heri katika safari yake mpya na kama walivyosema wahenga, mwisho wa safari moja ndio mwanzo wa safari nyingine. Katika vita ya kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa hawa manyang'au yaliyokamata dola hakuna haja ya kugombea fito, mchango wowote ule utakaofanikisha harakati hizo is welcome. Ukawa imeonesha njia kwa kujenga msingi, ACT kama ina uchungu kweli na taifa linakoelekea nasema please join the band wagon.
th

kijana tulia,punguza pressure Zito ndo kwanza anaanza,yani mwaka huu mtapakimbia pale ufipani.
 
Last edited by a moderator:
kijana tulia...
Asante sana mzee stanlthecreator, hizo dalili zake tuliziona toka mwaka 2007 na kama ungekuwa unafuatilia mijadala iliyokuwa ikiendelea humu JF nyakati hizo, ungeniomba radhi! Lakini ndio hivyo tena nchi haina dira, vijana hawana adabu kwa wazee wao kwani maadili yametupwa dirishani na uongozi upo upo tu. Naomba tu usinishambulie kama alivyofanyiwa Mh. Jaji Warioba; naambiwa kijana aliyemzaba mzee wa watu makofi kaukwaa Ukuu wa Wilaya! Sijui wewe utaambulia nini!
punguza pressure Zito ndo kwanza anaanza...
Zitto tuko naye toka 2007, muda wa miaka kumi! Kama ndio anaanza leo kumbe bado anayo safari ndefu! Je unayo habari aliwahi kususa kuingia JF? Je unayo habari aliwahi kuwaomba wana JF radhi kwa matamko yasiyo ya staha? Unajua kuna wakati alitaka hata kususia Ubunge na kurudi kukamata chaki? Hayo tuyaache kwani kulingana nawe mzee, Zitto ndo kwanza anaanza...!
...yani mwaka huu mtapakimbia pale ufipani.
Mwaka huu 2014? Mbona kachelewa sana? Hivi kweli unawajua unaowasiliana nao humu JF...mm, naona umejiunga mwaka jana mwezi wa Januari! Kuna mengi huyajui. Alichelewa kidogo tu...angeondoka mapema labda angesevu kaheshima kadogo lakini ukweli mchungu ni kwamba katimuliwa (shown the door) na hiyo sifa haivuiliki, itamganda maishani!
 
Last edited by a moderator:
Hapana hiyo ndio amateurism tunayoizungumza. Zitto alifikiri siass ni roadshows, nakubaliana na wewe unayesema si anyamaze? halafu asichojua ni kwamba powerful people wanatafutwa na press, sio kuwaita press si kila mtu atakuja kwa kuwa atawaiipa walau 20,000/- kwa porojo hizi? maana hata kwenye magazeti si headliine tena, hatuuzi Zitto sio story tena ameshaingia page 5 tena kwa kustruggle huku press room ni kulazimishwa tu na ma editor wanaoshinda nae ofisini kwao eti kuwa ni rafiki wa Team Lowassa. Pole sana kweli njia ya mwongo ni fupi. Leadership sio udomo kaya.
 
Eti nini? Zitto kaitisha Press Conference? Duh, yaani siyo ACT iliyoitisha Press Conference bali Zitto! How and why? Maybe I am missing something here...je kaitisha hiyo Press Conference kama nani? Jamani tukubali tusikubali, Chadema ina vichwa na intelligence yao lazima ni kiboko! Hebu fikiria kama hii Press Conference ingeitishwa kabla ya kutimuliwa...si ingekuwa balaa kwa Chadema! Hii ingekuwa sawa na katoto kupakatwa na baba halafu kanamnyea baba bila baba kugutuka kwamba katoto kake kanasokotwa tumbo. Bila shaka ni juu ya baba kugutuka mapema na kukawahi katoto msalani kasichafue hali ya hewa.

Lakini hata tukiacha hili; Chadema imemtema Zitto na haraka haraka ACT ikampokea, je hapa tunapata somo gani na tutegemee nini hiyo kesho? Kama lengo la kuwaita waandishi wa habari ni kuikandia Chadema, namshauri Zitto achukue tahadhari kubwa, kauli zake zinaweza zikawa na madhara kwake kuliko Chadema. Kudai demokrasia nchini imekuwa na gharama kubwa na wapo watu wameathirika kimwili na kiafya katika harakati zao za kupambana na chama tawala, CCM na wanazo alama za michubuko na makovu. Kwa hali tofauti kabisa yeye alibahatika kulikwepa tanuru walopitia wenzake bila kuathirika.

Zitto, amefanya maamuzi na bila shaka ni baada ya kutafakari kwa kina na kuridhika kuwa hakuna njia nyingine ya kuutumikia Umma zaidi ya hiyo aliyoichukua. Namtakia kila la heri katika safari yake mpya na kama walivyosema wahenga, mwisho wa safari moja ndio mwanzo wa safari nyingine. Katika vita ya kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa hawa manyang'au yaliyokamata dola hakuna haja ya kugombea fito, mchango wowote ule utakaofanikisha harakati hizo is welcome. Ukawa imeonesha njia kwa kujenga msingi, ACT kama ina uchungu kweli na taifa linakoelekea nasema please join the band wagon.
th


Mkuu umesahau kauli zao yakuwa Zitto kwanza chama baadae?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umekariri kwamba ushahid lazima uwe wa maandishi, hata sauti na video za Tundu Lisu pia zinaweza kutumika kama ushahid
Kati ya watu vichwa maji wewe unaongoza. Official procedures zinaenda in writings, wewe unadhani spika atapokea na kuikubali barua ya kujiondoa ubunge ya zitto kwa kiambatanisho cha sauti ya Tundu Lissu? hebu tumia akili uliyopewa kufikiria, you can do a lot better than that with your head.
 
Yerricko wewe mwenyewe na Ben sanane hata sasa mnajua fika CDM haiwataki, mnajua fitna nyingi mnazopitia ndani na nje Ya chadema.

Kila mmoja wetu tunajua fika kinachoendelea ndani Ya chadema juu yenu, na hata kuambiwa maneno mabaya sana hatutaki kuyataja hapa.

Yericko fanya mpango urudi shule kama Ben alivyofanya itasaidia sana mbeleni kuliko kuwapigania watu ambao hata ukiwafanyia Zuri kiasi gani basi fadhila zake ni kutukanwa na kutafsiriwa vibaya kama mnavyotanabaishwa ndani Ya chadema kwa sasa.
 
Eti nini? Zitto kaitisha Press Conference? Duh, yaani siyo ACT iliyoitisha Press Conference bali Zitto! How and why? Maybe I am missing something here...je kaitisha hiyo Press Conference kama nani? Jamani tukubali tusikubali, Chadema ina vichwa na intelligence yao lazima ni kiboko! Hebu fikiria kama hii Press Conference ingeitishwa kabla ya kutimuliwa...si ingekuwa balaa kwa Chadema! Hii ingekuwa sawa na katoto kupakatwa na baba halafu kanamnyea baba bila baba kugutuka kwamba katoto kake kanasokotwa tumbo. Bila shaka ni juu ya baba kugutuka mapema na kukawahi katoto msalani kasichafue hali ya hewa.

Lakini hata tukiacha hili; Chadema imemtema Zitto na haraka haraka ACT ikampokea, je hapa tunapata somo gani na tutegemee nini hiyo kesho? Kama lengo la kuwaita waandishi wa habari ni kuikandia Chadema, namshauri Zitto achukue tahadhari kubwa, kauli zake zinaweza zikawa na madhara kwake kuliko Chadema. Kudai demokrasia nchini imekuwa na gharama kubwa na wapo watu wameathirika kimwili na kiafya katika harakati zao za kupambana na chama tawala, CCM na wanazo alama za michubuko na makovu. Kwa hali tofauti kabisa yeye alibahatika kulikwepa tanuru walopitia wenzake bila kuathirika.

Zitto, amefanya maamuzi na bila shaka ni baada ya kutafakari kwa kina na kuridhika kuwa hakuna njia nyingine ya kuutumikia Umma zaidi ya hiyo aliyoichukua. Namtakia kila la heri katika safari yake mpya na kama walivyosema wahenga, mwisho wa safari moja ndio mwanzo wa safari nyingine. Katika vita ya kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa hawa manyang'au yaliyokamata dola hakuna haja ya kugombea fito, mchango wowote ule utakaofanikisha harakati hizo is welcome. Ukawa imeonesha njia kwa kujenga msingi, ACT kama ina uchungu kweli na taifa linakoelekea nasema please join the band wagon.
th

Vichwa vya Chadema kina Mbowe, Lema na Afande Sele? kumbe hotuba ya Zitto tayari unayo Zitto anawakandia Chadema siyo anasemaje ebu tupe dondoo kuduchu.
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mzee stanlthecreator, hizo dalili zake tuliziona toka mwaka 2007 na kama ungekuwa unafuatilia mijadala iliyokuwa ikiendelea humu JF nyakati hizo, ungeniomba radhi! Lakini ndio hivyo tena nchi haina dira, vijana hawana adabu kwa wazee wao kwani maadili yametupwa dirishani na uongozi upo upo tu. Naomba tu usinishambulie kama alivyofanyiwa Mh. Jaji Warioba; naambiwa kijana aliyemzaba mzee wa watu makofi kaukwaa Ukuu wa Wilaya! Sijui wewe utaambulia nini!

Zitto tuko naye toka 2007, muda wa miaka kumi! Kama ndio anaanza leo kumbe bado anayo safari ndefu! Je unayo habari aliwahi kususa kuingia JF? Je unayo habari aliwahi kuwaomba wana JF radhi kwa matamko yasiyo ya staha? Unajua kuna wakati alitaka hata kususia Ubunge na kurudi kukamata chaki? Hayo tuyaache kwani kulingana nawe mzee, Zitto ndo kwanza anaanza...!

Mwaka huu 2014? Mbona kachelewa sana? Hivi kweli unawajua unaowasiliana nao humu JF...mm, naona umejiunga mwaka jana mwezi wa Januari! Kuna mengi huyajui. Alichelewa kidogo tu...angeondoka mapema labda angesevu kaheshima kadogo lakini ukweli mchungu ni kwamba katimuliwa (shown the door) na hiyo sifa haivuiliki, itamganda maishani!
Leo utasema yote kamanda nasikia Ufipa pamechafuka.

Teh teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni kawaida ya Zitto! Usishangae kesho ukaambiwa press conference imeahirishwa! Zitto ni mafua!!
Qur'an 5:51~52
51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. ***

52. Utawaona wale wenye maradhi nyoyoni mwao wanakimbilia kwao wakisema: Tunakhofu yasitusibu mabadiliko. Huenda Mwenyezi Mungu akaleta ushindi au jambo jingine litokalo kwake wakawa wenye kujuta kwa waliyo yaficha katika nafsi zao. ***
 
Pita na msaliti hivi, pumbavu huyu ameanzisha act akiwa chadema???

Ukiwa lumumba mwenzako anaijenga cuf utamuacha??

Akili ndogo yatawala akili kubwa
 
Huyu kijana ana matatizo. Sijaona umuhumu wa hizi hotuba mara waraka wake wakati hana ushahidi wa kimaandishi wa kufutwa chama. Ana haraka gani, si asubiri apewe barua ya mkufukuza? Sasa ana aga hadi bungeni wakati hakuna ushahidi wa kimaandishi kuwa kafutwa chama, ni nini maana yake? Aliyemshauri kampoteza.
Akufuzaye hakwambii toka. TL keshasema ZZK si mwanachama wa CDM; Abakie afanye nini?
 
Back
Top Bottom