Zitto aitesa CHADEMA

CHADEMA tunafanya uchaguzi wetu wa ndani, hatuna muda wa kuwajadili maccm na mamluki wao
 
wananchi wa kaskazini mwa tanzania

Mbona unapanick kaka!
Hapo ujue jamaa anacheza karata zake na huna cha kumfanya, in fact amewa-check mate!
Whats CHDEMAs next move?
NOTHING!

Kuondoka ZITO CDM ni pigo kubwa sana


Zitto ni jiwe kuu la pembeni lililowashinda waashi
ACT ni nyumba ndogo ya CCM.. UDINI; UKANDA; na UKABILA NDIZO SERA ZAO!
 
Huyo Zitto si ni kama kondomu tu iliyokwisha tumika?
 

Wewe unajifanya mtoto wa madiba,labda kama ni mtoto wa ka
 
Hata wasipoondoka watafukuzwa tu...... So they know the end of their roads.
 

Acha kutumia miguu kufikiri, tulia ujadili unacho kijua. Lini wanakigoma wakawa wahaya?
 
Khaa!!! " Zitto ni mwanasiasa mahiri na mwenye akili nyingi" - Dr Mtei ( Mmoja wa waasisi wa chadema)
 
kwa kuanzisha Chama kingine hakika itajidhirisha wazi zito alikuwa na anatumiwa na CCM. ndio maana haongelei ESCROW Account ingawa yeye ndio Mwenyekiti wa PAC?
 
anajitesa mwenyew..mpuuzi tu...anakunya anaambiwa zoa mavi anatunisha msuli wa mende...piga teke kule...pimbi mkubwa.
 
Kuna watu wanashabikia hata ujinga fanya uchunguzi ndio useme.swala la eskow mh zito alishazungumzia tena hata star tv
 
yaani mkuu nilipoteza muda wangu mwingi sana kukashabikia haka kajamaa hasa wakati wa ile saga la Buzwagi, yaani nikakaona ni kama kana-mageuzi ka kweli - lah kumbe ni kachumia stomach tu.
 
Watz wengi wanapenda vitu hata kama vibovu hata akijua stil ataendelea.may be type of foods it cnt activate the brain.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…