My GAWD!!!! Igunga haijawahi kuona umati kama huo katika maisha yake yote! Muulize mtu yoyote pale mwenye umri mkubwa atakueleza hivyo. Kilichobaki kwa CCM ni kufanya kawaida yao ya ujambazi waliozoea na kunyang'anya kwa nguvu. Namna nyingine hakuna. Najua CCM watasema wote hao hawakujiandikisha.
kwani ilitakiwa aende lini? acha pumba we pimbi, muda wa kampeni kwani ulikuwa umeisha?Mbona amechelewa sana kwenda Igunga
Najaribu kuwaza CCM watatokea wapi huko Igunga. Nilimsikia Mbunge wao mmoja mwanamke akiwahutubia wanavijiji kama kumi katika eneo moja ati CDM ikishinda kutakuwapo vita kama vile Burundi. Mie nadhani CDM wakienda eneo hilo waende na bango la Rage na bunduki yake kiunoni ili wanavijiji hao wajue ni akina nani hasa wako tayari kwa vita.
ccm huwa inawasaidia sana watz maskini waliowanyonya na kupigika ili waweze kuhudhuria matamasha ya bure ya muziki ambayo hawawezi ku-afford, kwa hiyo wananchi wanajua pale ishu ni muziki tu lakini wakienda kwenye mikutano ya cdm huwa wanasikia sera makini na kuombwa wawapigie kura na bila hiyana wananchi wanatekeleza!umeona ee, CCM wakiona huo umati wao wanaimarisha kamati ya uchakachuaji, lakini siku za ukombozi zinakuja, kitaeleweka tu. Ukiona mikutano ya CCM ina umati mkubwa fanya uchunguzi ni msanii gani alikuwa anapaform, lakini chadema ni sera za ukombozi tu, no time for cheap politics.
du!!! kumbe chadema kuna baadhi ya watu c ridhiki!!!!!!!Mkuu mbona siamini amini hivi ni kweli au? Aisee natamani nije huko igunga, mbona raha jamani hadi 'masaburi' yangu yanawasha kwa jinsi yalivyohamasika. Mbona mwafaidiiiiiiii!!!!!!!!!!
na pia hakukuwa na KIKUNDI CHOCHOTE CHA BURUDANINimeiangalia hiyo clip ya video na nina nadhani CCM wainue mikono juu tu, ili Igunga iwe salama. Na hapo sijaona watoto wa shule, sijawaona waliopewa kapelo na T-shirt za chama. Kama hawa wapo, basi ni wachache mno wa kuhesabu.
wewe unachanganya habari, yule waziri alikuwa haitwi chemical Ally.
du!!! kumbe chadema kuna baadhi ya watu c ridhiki!!!!!!!
Mbona amechelewa sana kwenda Igunga
Naona Zitto anang'ara sana this time. Chadema HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE