Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Kama ni kweli hali ndiko inakoelekea kuna haja gani ya kuwa na serikali isiyoweza kuboresha hali ya waajiri wake (sisi wenyenchi)?! Kwa kweli kuna kila haja ya kufikia wakati wa kufanya mapinduzi, haitakuwa dhambi kama tukiwavua madaraka hawa viongozi wote wanaotupotosha na kuanza upya!