BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,102
- 2,042
MH ZITTO akiwa ndani ya manispaa ya IRINGA akifafanua kuhusu bajeti mwaka huu na jinsi ambavyo itakavyo kataliwa na Bunge unless otherwise ibadilishwe alielezea jinsi deni la Taifa tokea mwaka 2006 lilikua ni Trilion 6 mwaka 2009 ni Trilion 9, mwaka 2011 ni Trilion 11 na funga kazi ni 2012 ni Trilion 22 ambapo alisema kila mtanzania anapaswa kulipa sh 488,000/= hali ambayo iliwashutua wananchi waliokuepo baada ya kufafanua Trilion ipoje..
Pia aliendelea kuichambua bajeti ambapo alisema maskini Dr mgimwa waziri wa fedha ni km huu mzigo ni mkubwa sana kwake na km vile hajui kinachoendelea ktk bajeti...
Walikuapo wazungimzaji wengine kama James Malya aliekua kiongozi wa umoja wa vijana CCM Arusha na baadhi ya viongozi waliojivua magamba kama aliyekuwa anagombea ubunge kwa tiketi ya CCM mkoani Iringa ambapo alirudisha kadi tatu na za mke wake
Pia aliendelea kuichambua bajeti ambapo alisema maskini Dr mgimwa waziri wa fedha ni km huu mzigo ni mkubwa sana kwake na km vile hajui kinachoendelea ktk bajeti...
Walikuapo wazungimzaji wengine kama James Malya aliekua kiongozi wa umoja wa vijana CCM Arusha na baadhi ya viongozi waliojivua magamba kama aliyekuwa anagombea ubunge kwa tiketi ya CCM mkoani Iringa ambapo alirudisha kadi tatu na za mke wake