Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Huku ni kuchangia mada kiitikadi bila kumfahamu kanuni za ruzuku. Ruzuku ya ACT ni ndogo sana maana hawana wabunge wengi. CCM na CDM wanapewa pesa nyingi zaidi ya vyama vyote.Ruzuku na ada za wanachama zinafanya kazi gani? vinginevyo chama kitakufa.