Zitto aahidiwa kupewa ulinzi na chama cha ACT

Zitto aahidiwa kupewa ulinzi na chama cha ACT

Duuuuuh yaaan Zitto ajenge reli kwa gharama zake mwenyewe. Hiki ndo chama mbadala wa CDM. Wonderz will never end
 
Zito ni kama dogo janja na tiptop.baada ya kupata mafanikio akajiona yeye ndo yeye wengine waliomtia mtaaan na kumpa naisha wapuuzi.sasa baada ya kumshinda kwenye chama lake jipya karudi kyimba radhi na kusamehewa na wakubwa zake.zito mwache aiende na miguu yake miwili.atakapokuja kujua alikosea akataka kurudi kwa sehem anapotaka kwenda hata akijasamehewa hatoweza kurudi kama alivyoondoka.atarudi kiwete hawez tembea tna.
 
Na mie nimejaribu kushangaa kidogo kwa kaimu Mwenyekiti kuongea pumba mchana kweupeee....

"Naye Kaimu Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Bw. Shaban Mambo, aliwasihi wananchi wamuunge mkono Bw. Kabwe atakapojiunga na chama hicho ili aboreshe hali ya usafiri wa reli ya kati kwa kuwaletea treni inayotumia umeme kwa gharama zake."

mkuu hiyo wapi juukwaani au kwenye kijiwe cha kahawa ..............kama itakuwa jukwaani basi act itakuwa sio genge la wahuni tu bali ni mkusanyiko wa wagonjwa waliotoka milembe na wale wenye dalili za kuelekea huko

labda na wewe ufikirie
  1. machange ........mnafiki, mapepe, mshika vibahasha wa CCM(CCM messenger)
  2. ZZK--------------mnafiki, msaulifi, kigeugeu(leo sigembei kesho nagombea), pia huwa ni mshiriki mzuri wa nguvu zisioonekana kwa macho
  3. kitila mkumbo----mafiki, pia
  4. Njano tano--------Mtumishi wa wasaliti, Msaliti, pia Ajitambui
  5. mwigamba -------frustration person, mwangalie vizuri utagundua huyu msukuma yuko hoi
 
Eti zitto ameahidi treni ya umeme kigoma. Hii ni zaidi ya ccm na maisha bora kwa kila mtz
 
sasa wale wanasemaga vyama vya kikanda nasubiriamseme na hiki ni cha kikanda hama?
 
Lisu katangaza kugombea urais naye ameshahojiwa na wenye chama?

Je Lissu aliishawahi kupewa Billio 3.6 ili aihujumu CDM? Zitto alitamka kugombea uongozi ndani ya CHADEMA sio kwa nia ya dhati ya Kuiimarisha CHADEMA bali kuibomoa na hicho kilijulikana na ndio maana aliwajibishwa na haya yanayotokea sasa yanaleta majibu ya nini lilikuwa lengo la Zitto na vibaraka wake ambao wanatetewa na CCM kwa nguvu zote.
 
ACT chama cha wabembe utakikuta misikiti ya Ujiji tu
 
Back
Top Bottom