Unaweza kumuambia aache kutumika na kampuni ya Accacia kuudanganya umma na kujenga hofu kuwa maamuzi ya mahakama ya usuluhishi yataigharimu serikali ili hali si kweli kwani kanuni ya 30 ya Arbitration ya LCIA hawachapishi taarifa zao hivyo tumuulize Zitto Zubeir Kabwe kazitoa wapi?
Nimekuwekea hapa hiyo kanuni upitie..
#TuweWazalendo #HawanaChaKuzusha #SerikaliMakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwekea hapa hiyo kanuni upitie..
#TuweWazalendo #HawanaChaKuzusha #SerikaliMakini
Sent using Jamii Forums mobile app