Zipi sifa mahususi za Afisa Elimu na Mkuu wa Shule?

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Ndugu wasomaji na wachangiaji wa jukwaa hili, salam kwenu. Naomba mwenye kujua atufahamishe sifa mahususi za kuteuliwa kuwa:

=Afisa Elimu upande wa Sekondari na Primary

= Mkuu wa shule upande wa Sekondari na primary pia, kwa mujibu wa kanuni za ajira maana inaonekana wapo baadhi kielimu wapo nyuma sana, hawajui hata kuwasha kompyuta katika ulimwengu huu tunaoishi na hawa ndio chanzo cha ubovu wa elimu.
 
Uzoefu kazini ktk kada ya ualimu, elimu na kujulikana pia.....bt ukiwa kada nayo itakusaidia
 
Mkuu wa shule ni kiranja wa WALIMU pale shulen. Ivo vyeo havina maana yoyote Coz uwe na Elim ucwe nayo still ni uboya tu.

Ualimu kada ambayo imetupwa kweny dust been kama TOILET paper
 
Back
Top Bottom