kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
- Thread starter
- #21
Nafikiri wengi watafaidika na huu uzi Asante sana MkuuUnatakiwa kujua mzigo wako una CBM ngapi na uzito kiasi gani (wengi husahau kuhusu uzito)au kama unaweza kujaa 20ft a 40ft container.Kma unatosha then bora upakie full container na siyo loose cargo.
Faida mojawapo za full container
1.mzigo wote huwa ni wako .Kama utapakilia kiwandani hutakuwa na hofu ya kupoteza baadhi ya vitu kwani mzigo utapakiliwa